@sautiyakanisakatoliki1: 🔴 Kichwa cha Mtakatifu Agatha kimerudishwa kwenye sanduku lake. 🕊️ Catania, Sicily, imeadhimisha miaka 900 tangu masalia ya Mtakatifu Agatha yarudishwe kutoka Constantinople mwaka 1126. Katika maadhimisho hayo, kichwa cha Mtakatifu Agatha kiliwekwa tena pamoja na sehemu nyingine za masalia yake ndani ya Kanisa Kuu la Catania. Ni tukio kubwa lililojaa imani, historia na heshima kwa Mtakatifu Agatha. 🙏🌹 follow @sauti_ya_kanisa_katoliki kwa taarifa zaidi #sautiyakanisakatoliki #kanisakatoliki #tiktoktanzania #tiktokkenya