@255zack: Mbowe atinga uzinduzi JNHPP Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, amekuwa miongoni mwa viongozi na watu mashuhuri waliofika kushuhudia tukio la kihistoria la uzinduzi wa Mradi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) kinachozunduliwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan, wilayani Rufuji mkoani Pwani.

Dr. Zack 🇹🇿
Dr. Zack 🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 22 August 2026 10:28:38 GMT
511
18
4
2

Music

Download

Comments

zahararamadhan699
zahara :
Tz yetu oyeeeee
2026-08-22 12:07:43
0
manondo12
cash money 🤑 💸 :
tu ategemea bei ya umeme kupungua kwa zaidi ya 50%
2026-08-22 11:26:20
0
aliseif758
grasshopper :
bora ipande zaidi bei ya umene
2026-08-22 15:23:49
0
user4022659537371
Masoud :
kama kuna kitu cha kujutia kwa chadema basi ni kwa kumkosa huyu jamaa kwenye harakati za kupata serekali, wameacha mtu wa maana wameenda kuchukua chizi awaongoze yani hasara kweli na hawawezi kusimama tena kwenye mstari
2026-08-22 18:33:12
0
To see more videos from user @255zack, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About