@wananchiitv: Uzinduzi wa kihistoria wa Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti 22, 2026, Viongozi wa kitaifa wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wameonekana wakiwa na nyuso za furaha na bashasha bwawani hapo pamoja na Makamu wa Rais, Dkt. Nchimbi. Je, ndugu Mtanzania unafuraha kutimia haya. Tupe maoni yako hapo kwenye comment….