@hubofwisdom.inc: "Ukweli halisi: Tatizo la nguvu za kiume sio kubwa kama linavyochukuliwa." Anasema Dr. Mwaka. Anazungumzia kwa uwazi mada nyeti inayowahusu wanandoa na watu waliopo kwenye mahusiano ya kudumu. Anatoa ufafanuzi kuhusu afya ya uzazi, changamoto zinazoweza kuathiri maisha ya ndoa, na umuhimu wa kuelewa mwili wa mwanaume na mwanamke kwa usahihi. Tuandikie maoni yako kwenye comment section @hubofwisdom.inc au tuma neno WISDOM kwenda namba 0753825794 kujiunga na mijadala katika kundi letu la WhatsApp au tembelea tovuti yetu www.hubofwisdom.com/media ------------------------------ Session Credits: Wasafi Media – Women Matters #DrMwaka #AfyaYaNdoa #AfyaYaUzazi #Mahusiano #Ndoa #ElimuYaAfya #HWMedia #HubOfWisdom #Tanzania #Swahili #Relationships #Marriage #HealthEducation #Wanandoa #MaendeleoBinafsi