Much love brother, huo ndiyo muda wa mabadiliko 🤝.
2026-08-22 16:54:35
10
acm jembe.org :
point nzuri sana shida huku kwetu UCHAWI 🥺
2026-08-22 16:57:08
11
chrissmartinpaul :
pointtt....
2026-08-22 22:21:52
0
p-funk majani :
kwanza brother shkamoo
2026-08-22 17:11:09
2
BE STILL AND KNOW :
point mkuu.
wazazi wema huacha urithi kwa wanae
2026-08-22 17:23:07
4
Mangi :
Brother 🙌🙌🙌
2026-08-22 16:57:24
2
Baraka The Technologist. :
au nikufollow tena ?
2026-08-22 18:04:58
2
msanjala finnest :
me kitu najiuliza sana ni kwamba dini zimeanza Karne ya ngapi na Africa imefika lini kwahiyo wale walioishi kabla ya ukristo na uislam watachomwa wote🧐 ni swali tu naombeni nijibiwe
2026-08-22 17:37:36
2
vitalis winjoson :
inafikirisha sana
2026-08-22 17:26:30
2
Ally Kapaya shamalala :
point kubwa sana
2026-08-22 18:01:01
1
A philosopher :
kaka ili wazo nimelichukua
2026-08-22 16:29:30
2
Mlowezi FurniturePoint 🔨🏃 :
Hili somo la Leo limenifungulia Dunia 🙏 Barikiwa sana Mzee
2026-08-22 16:26:43
2
Issah :
mmmh nmefrahi kwamba nimejifunza jamb jipya leo ubarikiwe sana mzee new leason is new reason
2026-08-22 20:24:52
2
SalehSp :
Ubaya utajitoa vzr ila wengine hujitenga utawafanyaje
2026-08-22 19:55:28
1
Sixpack :
unaguza point ambaye ikokwenye familiya yangu
2026-08-22 18:01:05
1
Ratonic_47!!! :
fact sana Mr. tatizo sisi familia zetu zimejaa chuki na kinyongo sasa tutawezaje kuwa pamoja, roho ya kwann imetujaa yani ni kitu kigumu kwa familia zetu za kibongo
2026-08-22 20:44:05
1
Producer Lin :
ni huzuni mkuu
2026-08-22 15:40:29
2
ibra star 🌟 :
kaka wwe ni miongon mwa waalimu bora sana kutokea katik karne ya 21 mungu akujalie kheri
2026-08-22 16:56:42
4
Jimmy :
Let me break-down ulikua umepotea mzee wangu🫡🫡
2026-08-22 17:52:44
1
BLAQ SMART :
kiukweli iyo ni mmoja ya ndoto yangu ktafta utofauti