@talkwithpaul: #talkwithpaul

TWP podcast
TWP podcast
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 22 August 2026 17:09:57 GMT
62830
3957
263
73

Music

Download

Comments

lujakans
luja.メ𝟶🐅 :
He is speaking like a tiktok comment section on a podcast💔
2026-08-23 06:02:49
0
denismugyabuso6
denismugyabuso6 :
May God bless you brother
2026-08-22 19:29:45
0
livingicon_
livingicon_ :
Christ the king❤️
2026-08-23 12:29:41
0
george.makavel
George M :
😂😂 Yaani unaconcept nzuri, but you have to cross check your facts, hazipo sawa.
2026-08-22 19:28:00
26
barrychristian056
Barry Christian :
....CECIL RHODES...
2026-08-23 05:46:02
0
silimumu
silimumu/@ :
kama ukristo ulikwepo kabla ya ukoni kwenye bibilia tungeona majina yenye asili ya kiafrica hiyo Moja pili hizi nchi wamegawa wakoloni je kabla kulikuwaje? tunatakiwa kujua
2026-08-22 18:42:04
15
kioo_urembo
kioo_urembo :
Ethiopia ndo nchi ya kwanza ukristo kuingia na ilikuwa karne ya 4 na alioleta ni missionary
2026-08-23 06:16:58
15
5050ramso
5050ramso :
Jamaa Yupo Sahihi Kabisa, Hata Mtume Muhammad S.A.W Aliwatuma Mashahaba kutoka Makka Kwenda Africa Ethiopia
2026-08-22 18:14:30
15
prince.kombe
Kombe :
Tho it wasn't Christianity
2026-08-23 04:11:52
0
sam.sb.sam
Sam_Digital✨✨ :
u kristo ulikuepo labla ya kristo kuepo?
2026-08-23 09:08:38
6
kalilatz
Kalila :
Ukristo uliokuepo Ethiopia hadi leo uko pale pale Ethiopia na ibada zao ni tofauti, Ukristo ambao unakua practiced leo uliletwa na wamissionary waliotapakaa bara zima wakiwa na malengo mengi ikiwemo kuliandaa bara la Afrika kuwa koloni
2026-08-22 20:32:29
11
lee_pyun
lee_pyun :
tunajua talk smthng different
2026-08-23 06:18:29
0
nck231_
Ja Rule :
Ililetwa na nani?
2026-08-22 18:37:54
4
ushindi_edson
@Ushindi Edson :
Umechanganya kidogo kwenye kipindi cha Suleimani na Queen of Sheba, hao waliexist be4 Christ kabisa, ni kama 950BCE Ila kuhusu Ukristo kutokuletwa na wakoloni upo sahihi 💯
2026-08-22 19:07:45
5
hansernest5
Hans Ernest :
bang mbaya Sana din zilikuwepo Nan kasema
2026-08-22 20:33:15
2
filimonzabron0gma
Mr Mon tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 :
jina la kitabu icho kinacho sema Ivo please
2026-08-23 19:13:41
1
jmcleaning11
JM CLEANING 🧹 🧼 :
nataka utwambie ukristo umeletwa na nani afrika na kama hazijaletwa na wakolon toa fact sio kuaminisha watu uongo
2026-08-22 19:52:53
1
mcmasinema
Masinema :
suleimani hajawahi kumuoa malkia wa Sheba.
2026-08-22 19:45:23
1
mudmacha4
kip sjasikia :
Hee kwa maandiko Gani mbona antupeleka
2026-08-23 19:43:00
0
mulidck
Dck :
Unavyo sema sio kweli. Kabla ya dini za ulaya na uarabuni africa haikua na dini iliosambaa. Concept ya mungu mmoja haikuepo sio Africa pekeyake bali dunia nzima. Ukristo na Uislamu umesaidiwa kusambaa na 1. vitabu walivyo andika- Biblia na Qur'an. Kwa hivyo ilikua rahisi kubeba Mungu wao. 2. Ukoloni na nguvu katika kusifia Mungu wao 3. Formal education. Hivi havikua Africa. Soma historia kwa kuchunguza na utakuta unaeneza porojo
2026-08-23 06:37:48
0
_makole
makole 🇹🇿 :
wazungu wao walicopy dini na mila za africa wakaleta upya mfano torat 25:5 hii mila wao hawana ila waafrica pekee
2026-08-23 03:49:40
0
maggielaurin
margie🤍🎀 :
kipindi cha king Solomon hakukua na ukristo please msitumislead ukristo umekuja baada ya Kristo kurudi mbinguni Kristo mwenyewe Hakua mkristo
2026-08-22 23:33:45
3
kicgroup
Tomson :
amesema part of truth....Ndiomaana kwenye agano jipya unamkuta waziri mkuu wa Ethiopia akiwa anasoma maandiko ya nabii Isaya...kwaio Ata maandiko ya biblia yalishaanza kufika africa kabla Ata ya izi dini waluzoleta wazungu na waarabu...matendo ya mitume 8:27-28
2026-08-22 19:10:41
3
user777542121579
juma :
Nikweli kabisa , Endelea kuwasanua
2026-08-22 18:17:45
1
munisi829
munisi :
kasha tumwaa kuendelea kutupotosha
2026-08-23 04:46:25
0
To see more videos from user @talkwithpaul, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About