@miladu_tv: Wazee wa Dar Es salaam SAIGON, Wampongeza Mufti kwa kuiheshimisha Dar Es salaam kuwa mwenyeji wa Maulid ya kitaifa na kumpa histori kuwa Maulid ya Mfungo Sita mkoa wa Dar Es salaam yamefikisha Miaka 100 tangu kuasisiwa kwake mwaka 1926 #babdeomiladu #miladutv #miladuupdate

Babdeo Miladu
Babdeo Miladu
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 22 August 2026 18:19:51 GMT
2849
99
2
4

Music

Download

Comments

user5945268422618
user5945268422618 :
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh maalim miladu,Kwa idhini ya Allah naomba umfikishie muft na bakwata Kwa ujumla kuwa,tunahitaji vyuo vikuu vingi vya kiislamu MUM pekee hautoshi Pia tunahitaji vituo vya afya vya kiislamu mama zetu bado wanazalishwa na wanaume Miaka 100 ya maulid Tuna nn waislamu? Bakwata isiishie kuonekana kwenye mwezi na maulid2
2026-08-22 18:42:03
1
cute..kins
user9250863731087 :
😁😁😁
2026-08-22 19:04:35
0
To see more videos from user @miladu_tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About