@allys_550: Ni kawaida kuchoka na kuhisi kila kitu kimekuwa kizito, lakini usisahau kuwa kila jaribu lina kipimo chake. Mungu hawezi kukupa mzigo usiouweza. Vumilia kidogo, Utavuka hili pia. 🤲🏽🤍 Save na share video hii kwa mtu yeyote unayehisi anahitaji kusikia maneno haya leo. #amaniyanafsi #usikatetamaa #QuranQuotes #SwahiliQuotes #tiktoktanzania