Kaka nemekuomba mara nyingi sana. Naomba unifanyie moja ya baba aliyetuacha yaani kuaga dunia na hivi watoto wake tunaendelea kutoboa kimaisha kidogo kidogo elimi aliyotupa inazaa matunda. Yaani tunakumbuka jitihada zake ili tuweze kusoma na kula. Watoto wake tunamumiss kadri siku zinaposonga mbele. Kutoka Rwanda tunakufuata tano kwa tano tena tunakukubali mzee wewe mwalimu wa nidhamu.
2026-08-23 18:54:35
0
adrof john sunga🇬🇭🇫🇲🇸🇳 :
kaka na mm ni tag bas
2026-08-23 09:53:39
0
HA GAMER :
Leo imenibidi niku foll
2026-08-22 20:24:51
0
mshua og 🤦♂️ :
uhakika kabisa mkuu
2026-08-23 12:14:03
0
jo manoti :
sio kuchagua marafiki pekee,..ata mwamke mwenye mchango chanya
2026-08-23 13:29:24
0
SIMON NGALA :
je vip sisi ambao tulio jipaka mafuta yalio pikiwa mahamri wakti tunaenda shule 🥺🥺
2026-08-23 18:11:39
0
DJ MaMo :
ok
2026-08-23 06:20:25
0
@Baziry...9479🔥 :
Asante kaka kwa ushauri kuna kitu umenifunza
2026-08-23 11:36:13
0
Johnson White :
doctrine
2026-08-23 18:39:29
1
Janka_kichuya_25 :
asnt San hii kubwa kwang
2026-08-24 13:08:27
0
yukhali :
iikweli
2026-08-22 19:36:08
0
Reghan :
uhakika kaka usiangalie saa ya mtu mwingne huenda yeye kashafika angalia saa yako mwenyew💯💯
2026-08-23 08:39:07
0
KIDD ZENJA :
Leo wasihi vijana miaka 20 mpk 25
2026-08-23 07:02:09
1
To see more videos from user @marcus_bebee_45, please go to the Tikwm
homepage.