@sheikhmbarakahmed: Wanachuoni wakubwa wa hadithi waliotunga vitabu vya Maulidi #sheikhmbarakahmedawes #DukturMbarak #maulidnabi #maulid #rabiulawal

sheikhmbarakahmedawes
sheikhmbarakahmedawes
Open In TikTok:
Region: KE
Saturday 22 August 2026 19:16:45 GMT
24120
1878
81
292

Music

Download

Comments

uwasekabendera
uwasekabendera :
Bida,kwa nini tufuate vitu vilivotungwa na watu tu.
2026-08-22 21:20:51
4
ugaas0001
Ugaas :
Wanazuoni wa Ahlus-Sunnah wal-Jama’ah wanaona kwamba kusherehekea Maulidi ni bid’a (uvumbuzi) katika dini. Haikufanywa na Mtume wa Allah ﷺ, wala Makhalifa Waongofu, wala Masahaba, wala vizazi bora. Kile ambacho hakikuwa sehemu ya dini wakati huo, hakiko sehemu ya dini leo. Ibn Taymiyyah (Allah amrehemu) na wale waliofuata njia ya Salaf walifafanua kuwa kuvumbua sikukuu na ibada ambazo hazikuwekwa na Allah na Mtume Wake zinakataliwa, hata kama nia ni upendo kwa Mtume ﷺ. Upendo wa kweli unaonyeshwa kwa kufuata Sunnah yake, si kwa kuongeza juu yake. Shikilia Sunnah safi na acha bid’a.
2026-08-22 21:15:25
9
shafiikalela
Kalela Online Tv :
sheikh Mubarak Allah akuzidishie kheri nyingi
2026-08-22 19:22:45
14
halymah27
بنت راشد :
sisi na mtume mpka qiyamah hatuachi kumswifu
2026-08-23 19:06:48
3
undercover0.00
undercover0.00 :
Bi Aisha mke wa mtume aliishi miaka 40 baada ya kifo cha mtume hakuwahi kumfanyia maulid je unampenda mtume kama alivo kuwa akimpenda mke wake
2026-08-22 20:30:10
18
ibunkitenge
Ibun Kitenge16641 :
KUNA WATU KWENYE Comments KABLA HUJAMJIBU NENDA KWENYE POST ZAKE UTASHANGAAA NA UTAJIFUNZA UMJIBU AU USIMJIBU UMUANGALIE TU.
2026-08-22 21:48:44
8
moha_826
Moha lights :
Mungu akuhifadhi sheikh mbarak
2026-08-23 00:06:12
4
rashidhabibu493
Rashid Habibu :
MAWAHABI WENGI HAWATAKI KUSOMA YAANI KUNA HUKMU NYINGINE WAMETOA WANACHUONI JE HAO WANACHUONI HAWAFAI KUFATWA FATWA ZAO?????
2026-08-23 03:38:46
3
swalehabdulrahma5
Swaleh Abdulrahma575 :
Allah akuhifadh shekh Mubarak
2026-08-23 20:56:42
2
ahm3dlao
Ahm3d LaO :
Sheikh mungu amzidishie elimu na uchamungu sheikh wetu
2026-08-22 20:41:48
7
user4183509835150
fatma Kahindi Mbato @ . com :
Allah tuhifadhie masheikh wetu Amin 🤲
2026-08-22 19:46:16
4
issa.athuman
Iss@~○thman✨️ :
Allah atuongoze katika kheiri inshaallah 🤌🤲🙏
2026-08-22 19:35:39
4
kunajoto001
kunajoto.001 :
MOLA TUHIFADHIE WANAZUONI WETU.amiin
2026-08-24 08:22:36
2
user1624903533081
K.A.M :
watu ikiwa jambo hawalipendi basi mara hukimbia kwenye madh haab na wakaona hakufai hata kufuata maulamaa..ila ikiwa jambo walitaka wao basi maulamaa wote hao hufaa...AJABU..
2026-08-23 10:42:30
2
hamad.khmis
hamad :
mashashallha sheikh wetu maulid tutsoma maulid mpka kiam
2026-08-25 16:29:55
1
athumanimakala6
Humairaa :
Mashallah
2026-08-22 19:27:31
4
hassanabubakari5
HASSAN ABUBAKARI :
mimi sipingi wala siungi lakini hasa wanaopinga maulidi tuweni na heshima na nidhamu kwa wenzetu wanaosoma maulidi. Tuacheni kejeli,dharau,matusi na kujiona sisi ndio bora kuliko kila watu wa dini zote duniani.
2026-08-25 13:52:27
3
sir_yusuf17
SIR YUSUF :
mashaallah
2026-08-23 03:33:15
2
aliyusufmaalim
aliyusufmaalim :
S.A.W❤❤❤❤❤❤❤️
2026-08-22 19:28:35
4
farajudin
ibnhassanabulhassan :
Allahum
2026-08-24 05:05:12
1
haji23443
haji23443 :
sisi na mtumi mtume na sisi
2026-08-24 23:08:31
1
mirdaas.aslami
mirdaas aslami :
ما شاء الله شيخنا الفاضل
2026-08-22 20:13:14
3
user1010281780343
Bm zube :
wametunga neno kutunga maanake ni Ile Ile bidaa na mtume ana sema Kila bida ni uzalili na Kila uzalili ni motoni yani iwe unahisi ni nzuri au laa ila mtu kasema Kila bidaa
2026-08-22 21:06:14
1
user9272146706983
أبو :
Mtume صلى الله عليه وسلم hakufanya, maswahaba hawakufanya, makhalifa wanne hawakufanya, maimamu wanne hawakufanya ..
2026-08-23 01:54:04
2
To see more videos from user @sheikhmbarakahmed, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About