washaona hamna namna ya kumzuia simba sasa wametafta plan B, but nobody can stop Simba
2026-08-23 08:53:39
0
QuenJay :
Mimi ni Yanga lakini Simba inaonewa kad nyekundu zimekua nyingi
2026-08-23 07:02:08
35
Masabalas_47 :
red card FC
2026-08-23 09:26:02
0
Lukafuba Jr :
Kuna namna tunatafutiwa kupoteza mechi kwa faida ya team flani, hata kama kweli wanafanya makosa inatakiwa haki pande zote. Shalulile alifanya kosa kama la Duchu hakupewa kadi yoyote, Kosa la jabaari lilistahili Red card kabisa, lakini kosa la Mligo ni jepesi sana kupata red card, hii ilikuwa ni onyo la yellow tu. Bacca alimgonga mchezaji wa Coastal na hakupewa kadi yoyote zaidi ya foul ilozaa goli
2026-08-22 20:03:48
54
Mr_G_•°• :
but it's a clear red card
2026-08-23 08:44:29
0
Aggie :
kiwiko hapa kikowapi🥺🥺🥺 najisikia uchungu sana
2026-08-23 06:29:08
23
Nkubason :
tunaonewa sana wana simba wenzangu lakini tusikate tamaa simba nguvu moja
2026-08-22 20:16:54
63
Ratonic_47!!! :
zote sawa lakini ya mligo imekaa kimchongo sana
2026-08-22 20:40:18
86
ayoub :
kwaakili zangu timamu nipende kusema ivi mechi ijayo simba ikipata card nyekundu musishangae kuniona ndani ya uwanja ama zangu ama zarefa watanitambua😭😭😭
2026-08-22 20:43:58
32
RobyTz🇹🇿 :
mbinu za kutengeneza yanga awe bingwa 😭😭
2026-08-23 07:35:43
10
Nyigu Tz :
clear red card
2026-08-23 07:47:55
1
Mugulusi wa kanazi :
NI MPANGO WA VIGOGO FRANI WANAO ISHABIKIA CHURA FC.
2026-08-23 04:20:34
9
senguro jr :
one day yes
2026-08-22 20:35:16
0
MAVELEI 10JR :
na hakuna tuliyo onewa zote ni harali
2026-08-22 22:27:56
10
juma :
tumieni akili sio maguvu mpila sio vita
2026-08-23 06:05:36
7
official mwassa jr :
me naimani kwamba simba ni timu kubwa hivyo wanatuandaa kwa ajili ya michuano mikubwa hivo tukiwa kama wana simba tusikate tamaa ni mapito tu simba anaungia uwanjan ikiwa mechi imechezwa tayari kinacho fata ni maamuzi ya ajabu ya marefa ili kuinyong'onyeza simba lakin simba ni hatari inashinda bila was was hivyo ukiwa kama mwanasimba mwenzangu usikate tamaa "SIMBA NGUVU MOJA"
2026-08-22 20:49:16
15
Daud Maswi :
mm naona kama tuliweza kungoa vuti Kwa mkapa ivi hio ninh FVS inatushinda vp kuivunjilia mbali make tutaenda ivi tukose mchezaji wa kupeleka uwajan kisa kad nyekundu
2026-08-22 20:37:34
5
emmanuel kamwela kamwela :
:ndiyo mana harisi ya wekundu wamsimbazi❤️❤️❤️❤️❤️
2026-08-22 21:07:41
7
andrea mwantepele :
nimeumia ila simeshindwa kutetea wenye card nyekundu
2026-08-23 08:55:13
0
Ahobokile Sb :
💪💪bado 🦁🦁🦁💪💪💪 tunasonga
2026-08-23 05:57:36
2
RUFIJI+KIBITI +MAFIA :
red card zote ni halali kiufupi bado wachezaji wa simba hawana nidhamu
2026-08-23 06:41:43
1
ibn_Qassim :
red card ya wazi kabisa 😁
2026-08-22 21:25:16
4
pink lady^ :
TFF wanatakiw waangalie hili jambo aiwezekan waamuz wanaona tu sifa kutoa red card kila mechi!! au ndo saiv tunadil na marefa?
2026-08-23 04:29:51
2
To see more videos from user @simba.sport.club32, please go to the Tikwm
homepage.