aibu naiona mm namna mashekhe tulikua tukiwa tegemea kina humeid leo hii wnafundishwa kupitia vitabu subhanallah ctasoma maulid bt najua yako na khilafu na watu wamaulid wako na hoja za kutegemea, zamani tulikua tukiona maulid ni haramu haifai ni mbaya hata kuliko dhambi nygine lkni kwa kusoma vitabu na kufwatilia vzri maulid nikatika mambo ambayo yako na khilafu katika ya wanavioni wakubwa wako walio kubali na walio kataa.
2026-08-22 23:34:24
6
Early motors&spares :
maulidi hayakuanza leo wala jana yamaanisha nini?si ni uzishi na kila uzushi ni upotevu
2026-08-23 03:57:12
1
BOFLO JNR :
MashAllah napenda unavyo toa hoja kwa dalili
2026-08-22 20:58:14
4
Abusmaz :
yaani ustadh عصام wamrahisishia saana mpaka vitabu na swafu pia
2026-08-23 03:16:57
1
Muhammad Khatwab :
duh imegeuka kuwa ijmaa ati 😂
2026-08-22 20:55:06
1
SIR YUSUF :
HAKIKA WE NI HAZINA YA TWARIQA UMETOA ELIMU YA KUTOSHA ALLAH AKUHIFADHI
2026-08-23 03:19:15
1
Aktham Muhammad :
Masha Allah n usijali wataelewa tuuu dawa inafaa hivyo taratibu taratibu wamezoea kuchapa kelele tuuuu hawana inswaf katika Dini.
wallah mtu apinge kwa kibri chake tu na chuki zake tu lakini dalili ziko wazi kabisa tena kwa vitabu kabisa
2026-08-22 22:08:45
2
hassan mohammad :
Shukran
2026-08-23 04:49:25
0
ibrahimu :
Allah
2026-08-23 03:58:42
0
abuhydar254 :
hapa ni moto, dalili kwenye vitabu. sikupayuka tu 🤣 tumerudishwa madrasa sote na humedi 🤣
2026-08-23 04:33:57
0
waliyyulla990 :
swadakta iswam wape elimu kwa hekima adabu na dalili izo vibri zao hao kina humeid na chuki zao waachie wenywe
2026-08-23 04:55:54
0
idd ramadhan Msumi :
Ahsante Sheikh Allah akulipe.
2026-08-23 04:16:53
0
Abu farhan :
جزاك الله خير
2026-08-23 04:39:53
0
muhammadmasoud69 :
جزاك اللهُ
2026-08-22 20:43:38
0
Early motors&spares :
ewe mzungumzaji lete aqwaal za maimamu wanne wanasemaje kuhusu maulidi:
imam Shafi رحمه الله
imam Ahmad رحمه الله
imam Maalik رحمه الله
imam Abuu Hanifah رحمه الله
2026-08-23 04:10:05
0
SAEED RAMADHANI :
mashallah sheikh Eswam Allah akulipe kila lakheri,
nasi yari swa fisha moyo zawale wale walio kua wakipi gana namakafir nayaleleta mukusaiko wamu sirim kukaa pamoja yalireta haman 🤲Alihamudulilah
2026-08-23 03:47:56
0
user4358689065476 :
Hichi ni kigogo cha twarikaa Allah akupe Umri mrefuuu ndugu yanguuu .....Wape vitu na dalili....lkn hawaoni kwasababu ya chukii na hasad na unafik ulovowajaa masalaffi
2026-08-23 04:03:13
1
To see more videos from user @esamkaawele2024, please go to the Tikwm
homepage.