@carolineyonson:

Carly💋
Carly💋
Open In TikTok:
Region: PH
Sunday 23 August 2026 01:03:43 GMT
913
213
9
2

Music

Download

Comments

jastinestar
Jastine :
so gorgeous 🥰❣️
2026-08-23 02:46:54
0
lance.dela.rosa5
Lance Dela Rosa :
1st
2026-08-23 01:12:11
0
steveaicrag
steve :
2026-08-23 01:22:51
0
bench972
Bench :
2026-08-23 01:13:18
0
sithukyaw3151999
SïțĥűKÿăw :
♥️♥️♥️
2026-08-23 01:11:52
0
user3874889566457
Seja🌑 :
😍
2026-08-23 01:11:46
0
eiji_09
Eiji09 :
❤️❤️❤️🥰🥰🥰
2026-08-23 01:09:05
0
lesterjay01
MACE :
❤️❤️❤️
2026-08-23 01:18:30
0
To see more videos from user @carolineyonson, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

JE, UZIO WAKO WA UMEME UNAPIGA KELELE KILA MARA..!!! ⛈️⚡ ​Watu wengi hufunga Electric Fence wakidhani kazi imeisha, lakini kero inaanza pale uzio unapoanza kupiga kelele  bila sababu, au unashindwa kutoa shoti (voltage) ya kutosha wakati wa hatari. ​Zitambue sababu 3 kwanini Uzio wako hauko imara: ​1. Nyasi na Matawi ya Miti Kugusa Waya ​Kero: Huu ndio adui namba moja. Tawi la mti likigusa waya, umeme unavuja kuelekea ardhini (Short circuit). Hali hii inasababisha kulia ovyo, hasa kukiwa na upepo au mvua. ​✅ Suluhisho: Hakikisha unakata matawi ya miti yanayozidi kuta zako. Uzio wa umeme unahitaji
JE, UZIO WAKO WA UMEME UNAPIGA KELELE KILA MARA..!!! ⛈️⚡ ​Watu wengi hufunga Electric Fence wakidhani kazi imeisha, lakini kero inaanza pale uzio unapoanza kupiga kelele bila sababu, au unashindwa kutoa shoti (voltage) ya kutosha wakati wa hatari. ​Zitambue sababu 3 kwanini Uzio wako hauko imara: ​1. Nyasi na Matawi ya Miti Kugusa Waya ​Kero: Huu ndio adui namba moja. Tawi la mti likigusa waya, umeme unavuja kuelekea ardhini (Short circuit). Hali hii inasababisha kulia ovyo, hasa kukiwa na upepo au mvua. ​✅ Suluhisho: Hakikisha unakata matawi ya miti yanayozidi kuta zako. Uzio wa umeme unahitaji "Nafasi ya Kupumua" (Clearance) ili ufanye kazi vizuri. ​2. Insulators Zilizozeeka au Kupasuka ​Kero: Yale maduara ya plastiki (Insulators) yanayoshikilia waya yakipasuka au kuchakaa kutokana na jua kali, yanasababisha umeme "kuruka" (Arcing) kuelekea kwenye nondo za uzio. Utasikia sauti ya tiki-tiki-tiki. ​✅ Suluhisho: Fanya ukaguzi (Maintenance) angalau mara moja kwa mwaka. Insulator zilizopasuka zinapunguza nguvu ya shoti na kuharibu Energizer yako. ​3. Mfumo wa "Earth" Usio imara ​Kero: Uzio mwingi wa Bongo hauna mfumo mzuri wa Earthing. Bila Earth imara, mwizi anaweza kugusa waya na asihisi shoti yoyote ya maana, na king'ora kisilie. ​✅ Suluhisho: Hakikisha kuna Earth rods za kutosha (angalau tatu) zilizochimbiwa chini na kuunganishwa vizuri. Uzio bila Earth ni sawa na kamba ya kuanikia nguo tu! ​USHAURI: Uzio wa umeme siyo mapambo ya ukuta. Ni silaha ya kuzuia adui asiingie. Kama unazima uzio wako unajitengenezea mazingira ya hatari. Kwa kuendelea kupata tips kama hizi usiache kunifollow #tiktoktanzania🇹🇿tiktokkenya🇰🇪🇺🇬🇿🇼💯 #followerstiktok #creatorsearchinsights #highlight

About