@gaditv: Raia wa Romania aitwae Constantin Catalin Podoleanu (39), mwenye makazi yake eneo la Njiro mkoani Arusha, amekamatwa na vyombo vya usalama, ikidaiwa ni baada ya kukutwa na kadi bandia za bank, zinazohusishwa kuiba fedha za watu. Katika taarifa ambayo imetolewa na Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Arusha, Agasti 22, 2026, imesema kuwa raia huyo alikamatwa Agasti 20, 2026 katika eneo la Njiro mkoani humo. 👉Ukiwa na tukio la kihabari unaweza kuwasiliana nasi kwa namba hizi... 0743 888 555. (Call/WhatsApp).

GADI TV
GADI TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 23 August 2026 03:28:44 GMT
114051
3140
168
493

Music

Download

Comments

jaafarmanhekman
Jaafar Manhekman :
Just a programming
2026-08-23 11:11:25
0
lunabaddie2
Luna💖 :
thats carding
2026-08-23 07:49:21
0
perry7066
perry :
huyo mchukueni awafundishe watu mambo za IT halafu mumuache aende kwao he is smart
2026-08-23 05:37:01
152
nurath_store
nurath :
me love him 😁😁😁😁😁mnipe hyo cm yake kwanza
2026-08-23 07:11:34
0
callmelonewolf2
Lone Wolf :
new idea unlocked 😐
2026-08-23 10:03:39
0
risk.taker.com
risk taker 🇨🇦 :
hii taarifa Bora msingetoa kwa umma kwa sababu imetupa wasiwasi kutumia bank from now Bora niweke hela zangu kwenye kibubu🙌
2026-08-23 06:32:23
31
don_mtatiro
Don :
milioni mbili miamoja sabini na mbili na mia tano!!!?
2026-08-23 05:41:42
32
silentzone0001
Tiger🐯🐯🐯 :
hahahhahah hiyo milioni 100 alilipia office gan? mmmh Hii report hii
2026-08-23 06:08:17
0
dogoj61
DogoJ :
IT ya Nguvu duuuuuu
2026-08-23 07:18:51
0
ramadhanima239
+Child of God+ :
mtu wa maana huyu
2026-08-23 06:03:42
26
tumsylz1
Sylz :
Au nirudi shule nkasime IT
2026-08-23 05:10:35
10
tariq_1213
Tee :
Tukitazama positively angetumika kuboresha mifumo yetu ya fedha.
2026-08-23 06:25:26
9
cutekora01
Bydat_collection🇲🇾🇹🇿 :
Upatu shida bank shida 😂😂 nashindwa kuelewa wapi niweke Ela zng 🙌😂
2026-08-23 05:56:47
15
user8651832656004
user8651832656004 :
tusaidieni elimu kidogo juu ya hilo unawezaje kutoa pesa na kadi feki? au tuache kuweka fedha zetu bank?
2026-08-23 05:51:39
8
lizybby
@lizybby :
Kesi ya kiume🤌🏾
2026-08-23 06:40:55
3
yussufom12
yussuf omar :
Kama unatumia atm kuna sehem kwenye app ukiingia imandikwa card management ukishamaliza kufanya malipo kwa cards nenda ca diactive card so hakuna mtu ataweza chukuwa pesa yako , ukitaka kutumia tena una active unatoa pesa kisha una reactive tena
2026-08-23 06:49:20
7
naitwakim15
PABLO ESCOBER DE himself 🚭 :
naomba niwe mwanafunz wake anifundishe hii🙏🙏🙏
2026-08-23 05:26:49
7
ramadhaniadamu128
Rama home electronic :
sasa kad ni fek au Atm zenu ndo feki tueleweshen vzuri bhana kadi feki inatoa vp hela ???
2026-08-23 07:53:56
0
user6361774298115
user6361774298115 :
kazi nzuri.......👏
2026-08-23 06:53:01
2
dable.tee
Double tee :
Daah hizo cad zinapatikan wap
2026-08-23 06:16:39
4
harleyquiin77
Empress👑Aira🌬 :
Hiki kipaji kilindwe🙌
2026-08-23 06:35:24
3
gloireupite
gloireupite :
Angewaibia vyongozi wa serikali wa nchi mbali mbali😂😂😂😂
2026-08-23 06:41:58
2
mamandegeoutfit
mamandegeoutfit123 :
🥰🥰dah naombeni acc yake hata ya insta
2026-08-23 06:24:11
2
magigejunior0
magigejunior0 :
fedha zangu za tonetone zitakua salama kwel
2026-08-23 06:55:48
2
To see more videos from user @gaditv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About