@lyy.heang035: 🥺🥺

Lyy Heang🎭📿
Lyy Heang🎭📿
Open In TikTok:
Region: KH
Sunday 23 August 2026 04:53:10 GMT
1029
346
26
76

Music

Download

Comments

31620438065
PK :
Back idol Cute 🙂
2026-08-23 06:04:08
1
d.lov92
Dä😔 :
back idol 🥺
2026-08-23 10:15:48
1
m.amm559
Mä Amm :
songha mes🫰
2026-08-23 05:10:22
1
user943221213
Jing Jing🪷🪷 :
Back
2026-08-23 07:56:17
1
li.ya123456
Jg kalip tea poor🔪🙁 :
Spp nh phg nk cmt
2026-08-23 05:58:24
1
ounlin40271
nav nav :
សងផង
2026-08-23 04:56:33
1
bora.z86
Bora Z :
🥰
2026-08-23 15:15:43
1
dbk742
🐷 :
Cute mes
2026-08-23 11:48:44
1
da.lavii5
Vyy🐾 :
Cr
2026-08-23 05:57:57
1
qwinmie_jing7
Miee Jing :
Songha
2026-08-23 04:54:11
1
im.fongzyy
Ju fong :
Tos sl bbe🙄
2026-08-23 17:12:36
2
senghakmoeurno
ក្មេងតូចអត់រឹកទេ🎀 :
🥰🥰🥰
2026-08-23 14:31:40
1
t7468518
🎀 :
🥺
2026-08-23 06:20:47
1
user593380039
Na :
😁😁😁😁
2026-08-23 14:04:02
1
To see more videos from user @lyy.heang035, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

JE NI KWELI DULLY SYKES NDIE MUASISI WA MUZIKI WA KUIMBA TANZANIA!? @princedullysykes anasema yeye ndio muanzilishi wa muziki wa Bongoflava.  Je unakubaliana nae!? BONGO FLAVA  ni jina ambalo linatumika kutambulisha muziki wenye asili ya mahadhi ya Tanzania (Bongo). Kumewahi kuwepo na utata kuhusu ni nani muasisi wa neno
JE NI KWELI DULLY SYKES NDIE MUASISI WA MUZIKI WA KUIMBA TANZANIA!? @princedullysykes anasema yeye ndio muanzilishi wa muziki wa Bongoflava. Je unakubaliana nae!? BONGO FLAVA  ni jina ambalo linatumika kutambulisha muziki wenye asili ya mahadhi ya Tanzania (Bongo). Kumewahi kuwepo na utata kuhusu ni nani muasisi wa neno "Bongo Flava" mwanzoni walisema ni mwanamuziki wa Reggae, #JahKimbute alisema ndiye aliyeasisi neno hili pale alipoamua kuchanganya muziki wa asili na reggae na kuziita Bongo Flava. Pia kumewahi kuwa na vyanzo vingine kama Mtayarishaji wa muziki P.Funk @majani187 na #DJBonnieLove wamewahi kuhusishwa na uasisi wa neno Bongo Flava ni ambaye aliliasisi neno hilo mwaka 1998, Madai haya kuhusu waasisi wa neno Bongo Flava linaonekana kupingwa vikali na Mtangazaji wa siku nyingi, Michael @mike_mhagama Mhagama ambaye anadai kuwa yeye ndiye mwasisi wa neno hilo na aliliasisi katika kipindi chake cha DJ Show kilichokuwa kinarushwa na @radioonetz miaka ya 1990 hususani mwaka 1996. Katika makala yake, Mhagama anasema, “Ilipofika dakika 30 za muziki wa R&B, siku hiyo nilikuwa kwenye usukani na kwa mbwembwe nilicheza nyimbo ya kundi la R&B lililoitwa 4Krewz Flava na baadaye kuiunganisha na nyimbo nyingine ya Unique @uniquesisters_official. Kwa vile midundo,mpangilio,lugha na utaalamu wa muziki wenyewe kamwe huwezi kuufananisha na ule wa Soul 4 Real au SWV kutoka Marekani,tulipenda tutofautishe kidogo kati ya aina hizi mbili na ndipo session hii niliibatiza jina ambalo lingetofautisha R&B ya Marekani na ile ya kwetu….niliipa session hii jina la BONGO FLAVA.” Wengine waliowahi kuhusishwa Ni pamoja kuwa ni waasisi wa neno Bongo Flava ni DJ. KBC, DJ. Phat Black, @dj.venture @djstevebtz Hii inamaanisha Muziki wa Tanzania ( Bongoflava ) ni muziki wa kuigia!? Vipi kuhusu hizi samples ,huwa wanafikia maridhiano na wenye nazo!? #dullysykes #bongoflava #mikemhagama #djbonnielove #muzikiwatanzania #tiktoktanzania #insideoutz

About