@veriafya: Akishauri kupitia Mwananchi Digital Mfiziotherapia Emmanuel Jacob kutoka Taaasisi ya Mifupa - MOI ameshauri kuwa mtu anapokaa ahakikishe makalio yamegusa mwisho wa kiti ndipo aegemee ili kuepuka mkao mbaya unaoweza kusababisha maumivu ya mgongo. Pia mikao kama ya kukunja nne, kulalia kiti au kuegemea meza kwa muda mrefu ni mibaya kwa afya ya mgongo na inapaswa kuepeukwa.

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 23 August 2026 06:08:42 GMT
3439
87
1
10

Music

Download

Comments

user1966288627175
user1966288627175 :
ASante sana doctar
2026-08-23 07:43:43
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About