@mwenye.nchi: Kuna kitu cha pekee alichonacho Lissu, nadhani Mungu alimjalia, na anakitendea haki. Kwa kweli, ninatumaini ataishi kuiona Tanganyika au Tanzania ambayo amepigania kwa dhati.
kaskazini tunashida gani aisee ikija swala la hela
2026-08-23 07:50:21
9
Christopher :
aliona mbali sana lisu
2026-08-23 07:08:18
19
renatusi Buberwa :
kwakweli nakupenda lissu MUNGU akulide
2026-08-23 07:14:13
14
user37966917661340 :
lissu nimkono wa mungu hapa tanzania 🇹🇿 tumpende sana aise
2026-08-23 07:16:43
12
Nason_the_NBF :
sisi ambao tunafatilia kwenye mitandao ya kijamii, hatujawahi kutana nao wala hawatujui sisi ni watu wakawaida kabisa TUNAONA WANAMUONEA SANA LISSU KUMUWEKA GEREZANI kwasababu hatuoni kosa lake na wala hawajatuonesha makosa yake wala hawajayaanika hadharani makosa yake....... Kama hatuoni na hawawezi kutuonesha kwa ushahidi basi ni kumkosea wanamkosea sana😓 tunafikiria kwamba LISSU anawazidi upeo wa akili ndomana mnapambana kumzuia au kumpoteza kabisa.... kwanini msichukue mawazo yake mazuri ilikubadilisha muelekeo wa Tanzania? au mwenye akili hapaswi kuonekana akitoa mtazamo wake??? mnataka tuamini ni bora kuongozwa na standard 7au 4m4
2026-08-23 08:01:09
3
1213mvula :
mandera
2026-08-23 08:27:48
1
DrSid94 :
Tangia hapa kaul za Mbowe zilianza kujianika waz kuwa alikuwa team serikali mpya over teamMarehem 😀
Mbowe alitumika kumchafua Marehem , Marehem alipotangulia kwake akapunguf upinzan
Yupo boss nje ya huyu rais wa sasa ambae anawaendesha wote
2026-08-23 07:20:51
5
hadram :
tal
2026-08-23 07:22:19
2
Rassy nguzo :
Kwel mm nilikuwa namuusuduu Mbowe mno lkn now days ndo nagundua kwa nn ht mweshimiwa LEMA alikuwa kinyume na mwenyekit wakee
2026-08-23 07:42:48
2
Chikonkolo :
Middle man kazini
2026-08-23 08:13:30
0
Lino Perfume :
2026-08-23 07:28:47
0
Muumini Safi :
huyu Lisu daaaa
2026-08-23 08:32:07
0
Magari_Dastonetz :
TAL 🔥🔥🔥
2026-08-23 06:51:01
8
bonymbilinyi :
daaah yule jamaa msaliti Sana .. daah mwenyezi Mungu amlinde lissu
2026-08-23 07:52:34
0
P*CLASSIC ONE :
tuliyajuwa hayo mbona ndio mana roma kaimba alituchelewasha ukombozi
2026-08-23 07:49:59
0
Happy :
yaani kinacho endelea sasa Tanzania ni sawa na kutizama tamthiliya ya kulfi. yaani adui anakera na wala hadhibitiwi. nafsi inakuuma mpaka unaichukia tamthiliya
2026-08-23 08:02:34
0
Chris :
TAL
2026-08-23 07:58:52
0
Thoby Nemess :
Dah Meko ni kibaraka mbaya sana
2026-08-23 08:29:59
0
Thom :
Basi tu
2026-08-23 08:23:23
0
To see more videos from user @mwenye.nchi, please go to the Tikwm
homepage.