@fandukhan01tz: Islam with fandukhan part3: Kumuamini Allah EP9:Mitihani gani tutapewa kwa kusema tumeamini ili tujaribiwe? JIBU: Tutapimwa kwa vile tunavyovihofia, Njaa,Kupoteza Mali, kupoteza ndugu, kupoteza mazao etc. Na je tufanye nini tukifikwa na hayo(na wala hatuyaombei Kwani mitihani ya Allah ni migumu kweli kweli) JIBU: Tukifikwa na hayo tuwe na subra na kumtegemea Allah kufanya hivyo ndio kuongoka na kufaulu biidhnillah. Na Allah anatufunza tuseme “inalilahi wa inna ilaihi rajiun” “Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea.” #test#iman#mitihaniyaallah #islam #tiktoktz