Imagine mbezi to toangoma🙌 mtuhurumie jamn sisi watu wa mbagala na kigamboni😂
2026-08-24 06:40:38
57
Veronica Adophu :
Baba Una city yako mbinguni 🥰
2026-08-24 06:39:33
20
elizabethsarah :
hawana huruma na wananchi wanachojali mapato tu
2026-08-23 14:09:14
126
Kalinjuma Elias :
Usiseme wanatesa Abiria
sema wanatesa watanzania wapiga kura
2026-08-23 15:18:01
51
Happy madera :
asante nimepona
2026-08-24 17:36:37
0
user5306351741051 :
mbunge wangu umeongea point sana hebu imagine mtu anatokea zakiem anakuja STEND magufuliii ana mizigo ana watoto huo usafiri ad afike STENDI atatoa bei gani alafu siooo woteee wanao safiri Wana furaha wengine wagonjwa wengine wamepoteza wapendwa wao unakuta amekopa kahela umuongezeeee Tena mitihani ya tax hiyo tax analipa nani😭😭😭😭😭
2026-08-24 05:18:51
13
Madizonga Msafiri :
Tanzania Nchi Mbovu Sana kila mtu anajiamulia mwenyewe kwenye kila Jambo kuwatesa Wana Nchi
2026-08-24 04:53:47
6
Appie :
kutoka mbezi hadi keko 15000 mpaka kigambon 20,000 kutoka mbez had arusha 48,000 mpak hamsin na mbili haya jumlisha alafu piga hesabu kwa wale wanaotoka kigambon kwenda mwanza nauli wanatumia sh ngap ebu achen bhana mabasi yatutembelee had majumban bhana
2026-08-23 21:02:30
10
YOBU 🫵 :
Naangalia video hii nikiwa kwenye basi ya Shabib muda huu na nimeambiwa lazima nishukie mbezi
2026-08-23 21:12:21
14
khanaiya 🌹🦋 :
maana Kuna baadhi ya mabus kwenda yanapita mbezi kurudi yanasema ayapiti mbezi yanaenda kushushia shekilango. ila wangeweka sawa pande zote. ili stendi itumike lkn pia wananchi watuhurumie tuh Kwa sababu mabus Yana park uko yaruhusu kwenda na abiria
2026-08-25 09:14:02
1
Machinist :
Lazima sheria zifuate sasa kila mtu akiamua kushusha abiria anapotaka itakuwa ni nchi au? ndo maana stand zinajengwa huyu atetei abiria anatetea biashara yk
2026-08-23 16:52:42
7
Pili Mduma1 :
sema baba
2026-08-23 14:08:59
11
tex@sdio45 :
mbona airport munaenda mnazifuata ilipo
2026-08-25 07:29:58
0
Ramadhani Liuka :
eti mh mbunge daaah, ivi sheria nani ana tunga? je shelia ya usafili wa mabasi inaelekeza nn? ili nchi iwe salama basi lazima lishushe kituo kikuu .
2026-08-23 15:32:24
9
. :
just imagine natoka singida naenda mkoa wa pwani mbagala chamazi alafu nimepanda ESTA wakati huo iyo ESTA inaenda mpka chamazi magengeni alafu nishuke mbezi nianze kutafuta boda mpka chamazi 30k na apo ukute Nina mizigo ivi hii kweli ni haki jaman 🥺🥺🥺🥺
2026-08-24 10:05:04
2
Philip Raymond :
lakini hawahawa wanunge ndio walipitisha budget za kujenga hizo stand