@hearing.gods.voice: “Daudi akatamani, akasema, Laiti mtu angeninywesha maji ya kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango! Basi hao mashujaa watatu wakapenya jeshi la Wafilisti, wakateka maji kutoka kile kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango, wakayachukua, wakamletea Daudi; walakini yeye hakukubali kuyanywa, akayamimina mbele za BWANA. Akasema, Hasha, BWANA, nisifanye hivi; je! Si damu hii ya watu hao waliohatirisha nafsi zao? Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.” 2 Sam 23:15-17 SUV Huwezi kutenganisha kazi na damu wala pesa na damu, hivyo haki yako yoyote ile ambayo ulidhulumiwa mkono wa adui unalazimishwa kuachia na ikufikie mkononi mwako katika jina la Yesu.#pastortonykapola #pastorroseshaboka #tiktokkenya🇰🇪 #tiktoktanzania🇹🇿 #mwamposa
Apostle Francis Eliada
Region: DE
Monday 24 August 2026 05:45:00 GMT
Music
Download
Comments
Freedom :
Ninajifunza mengi kutoka kwako
2026-08-24 07:09:20
14
Emmie🌸 :
2026-08-24 13:56:41
3
jhoyas :
unanifundisha mengi sana pastor🙏
2026-08-24 16:53:37
4
Sheila Jonson :
ameen
2026-08-24 16:37:38
3
jesca :
Ameeeen🙏
2026-08-24 17:29:24
1
Prettydatty🥰🦋 :
Amen
2026-08-25 06:26:58
0
Bossbaby 🌺 :
Ameen unanifunza mengi
2026-08-24 09:19:37
1
smasher smiles 😃 :
Amen
2026-08-25 03:18:28
0
pendo mbasweke :
amen
2026-08-24 08:11:19
2
KZ @10 :
🍐
2026-08-24 15:46:12
2
vicky collection👖👜👗👡 :
🙏🙏
2026-08-24 18:03:14
0
03/30 enjoy💁🌹 :
🙏🙏
2026-08-24 09:18:07
2
CONNY FX :
🔥🔥🔥
2026-08-24 20:30:30
0
To see more videos from user @hearing.gods.voice, please go to the Tikwm
homepage.