huyo jamaa alikuwa mbele ya muda sanaa,hii stori ni yamuda mrefu Imekuja kutoa majibu leo
2026-08-24 10:57:58
5
GOLDEN & MARANGU :
nomaaa sana jamaa kaongea point na alikuwa mbelee ya mudaaa
2026-08-24 11:14:27
4
mdudu :
huyu jaamaa anauwezo mkubwa sana anajua anacho sema
2026-08-24 10:38:02
4
Tanzanite Electrical Supply1 :
mamba Alisha semaga sana
2026-08-24 09:17:56
2
mambiola :
siasa si uadui ni ushindani kwaiyo urafiki sio shida kikwete alifungua fursa upinzani ili tuwe wamoja sasa magufuli alijenga msikiti sasa hii siasa ya kuamini chadema hawezi kua rafiki na ccm ni mawazo mgando hTa nyimbani kwako mkeo anaweza kua ccm na mpinzani sasa ukiamini kwa jicho hilo itakua shida ukweli ili ufainikwi uwe na rafiki upande wa pili huwez kugawa watu ccm hawana baya mpaka kwenye mchango si kweli mwisho itakua hatuzikani nn kwa vile yy ni ccm
2026-08-24 11:11:56
1
hffjkbfr :
sahihi
2026-08-25 10:13:33
0
theNavigator :
Yu wapi huyu sahizi? Si arudi chedema basi?
2026-08-25 08:30:59
0
RAPHAEL JOSEPH🇿🇦🇿🇦🇿🇦 :
nilionaga hii video nilikuwaga siamini kumbe watu waganga jamani😂😂😂😂
2026-08-24 17:06:23
0
Black Mamba :
nikweli kabisa
2026-08-24 12:56:28
0
user4762309307251 :
hakuna cha urafiki but niutapeli wa Mr mbowe. km vp ahamie ccm or chauma