john executed by king herod why lies? or which john you're talking about
2026-08-25 16:13:42
0
Wakio :
I think this is truw. His rolw was so great kuwa mtu wa kawaida
2026-08-24 20:24:15
0
Haki Nesta :
wow tupe part 2 please 🙏🙏🙏🙏
2026-08-25 05:51:07
1
wambis :
what about St Basil history
2026-08-24 17:34:46
1
user22916563830356 :
leta part 2
2026-08-25 01:39:20
1
zabul saul :
yohana alikatwa kichwaa sio muda bada ya yesu kuanzaa kazii yake soma vizulii
2026-08-25 05:10:23
2
Ali Diab :
kwani yesu ana uwezo gani umuache aishi mpaka arudi kama kila kitu yesu ulikuwa akifanya mpaka muombe mungu mbinguni mnamchukulia yesu kama mungu yesu sio mungu yuko na hakuna kitu inaweza kumuona mungu kwa macho
2026-08-24 14:39:44
3
Raphael Ngoda :
yohana arikatwa kichwa
2026-08-24 19:39:26
1
Eng.Kayombo Osb :
Mtumishi, Yohana neno alilokuwa analirudia rudia wakati akiwafundisha watu ni "Tupendane"
2026-08-24 15:43:53
3
mpaya27 :
alikuwa muzungu ao mweusi?
2026-08-25 03:17:31
0
Eddy150 :
Mwalimu: ukipata mda mimi naomba maana ya neno Mtume: mana nimesoma Bibilia nimegundua kua Yesu ametumwa na Mungu 17:3 Yohana: “ Na Yesu kristo uliyemtuma” nimekupa kua Yesu anaweza kuwa Mtume wa Mungu:
2026-08-24 15:37:00
1
Edna :
Ebu twambie aliye katwa kichwa ni nani ?
2026-08-25 07:33:11
1
itz hapoy :
sasa yuko wapi ama ndio ezekiel
2026-08-24 15:32:50
1
kenedymutuku999 :
Uyo yohana anatusaidia na nn
2026-08-24 22:33:18
0
dina baby :
yohana ni mimi🤣🤣🤣
2026-08-25 07:39:16
0
wa Mbathakk00032 :
yohana yupi?
2026-08-25 04:00:19
0
kechejoseph :
Je alikuwa mzungu au mwafrika kaka?
2026-08-24 19:34:43
0
Mmarekani mweusi🇺🇸 :
asa alijichimbiaje wakati alikuwa hana nguvu ata mpaka anafikia stage ya kubebwa
2026-08-24 16:39:48
0
EDWIN CRISPO :
Producer asante sana napenda sana content zako endelea kuleta 👏👏👏👏
2026-08-24 15:43:48
2
Ottomanmkoveke870 :
kama alibebwa kwenda kuhubiri aliwezaje kujichimbia kaburi?