@abella.afya.solut: Madhara 5 yanayoweza kutokea endapo unatumia sindano za uzazi wa mpango ni: 🩸 Hedhi kubadilika — inaweza kuwa nyingi, chache, zisizo na mpangilio au kukosa kabisa. 🤕 Maumivu ya kichwa au kizunguzungu. ⚖️ Kuongezeka uzito kwa baadhi ya wanawake. 😔 Mabadiliko ya hisia kama huzuni, hasira au kukosa hamu. ⏳ Kuchelewa kurudi kwa uwezo wa kupata mimba baada ya kuacha sindano, hasa kwa baadhi ya watumiaji. Muhimu: Madhara hutofautiana kwa mtu na mtu, na si kila mwanamke atayapata. Sindano za uzazi wa mpango kwa ujumla si salama kwa wanawake wengi zinapotumiwa bila ushauri wa mtoa huduma wa afya. #Uzazi #WomenHealth #BacterialVaginosis #UkeWenyeAfya #AfyaYaUzazi