ata wanaume wanafanya ivyo siyo wanawake pekoe mbona kila makosa munatutupia sisi
2026-08-24 16:13:13
12
Ahmed Swaleh 🌎 :
Tena wale wanaojifanya ma Ustadha na ma Ustadhi ndio wanao ongoza. ndio siku zote nasema simu ya mkewangu nafaa kuipekua ninavtotaka na ya kwangu pia yeye afanye hivyo.
2026-08-25 06:41:23
3
💫 :
hata wanaume sana kuliko wanawake
2026-08-24 21:28:06
4
sabrinabachoo472 :
wanaumme hawana muda na wake zao kiasi wanawake wachat na wanaumme huna wa kukuliwaza wafundisheni wanaumme wenzenu mapenzi kwanza ndo mulaumu wanawake
2026-08-24 18:00:27
6
Shazmin :
Mbona nyinyi huwa mnaona makosa ya wanawake tu si wanaume pia huwa wana chart
2026-08-24 19:54:15
1
moddykey66 :
siku ya kiama ndio kila kitu kitakuwa parawanja....
2026-08-25 06:19:45
0
Warda Kulola :
we shekhe semeni na yenu
2026-08-25 05:14:49
0
umm idha :
Na wanaume wakichati si makosa?
2026-08-24 16:55:39
1
aisha❤️❤️ :
kweli ee
2026-08-24 23:43:46
0
Abduli Rahmani Sulei :
maelekezo mazur mwenyezi mungu akulipe kheri
2026-08-24 19:29:00
0
Sumathir og :
na je wanaume je wa kama hivyo
2026-08-24 18:04:33
0
Njito :
Nawaona wengi wanawake wana comment kukataa au kusema na wanaume.
Hawajakataa ila saivi ndio mada inaongelewa ya mwanamke kwanza. msije juu bali eleweni mafunzo.
2026-08-24 22:08:22
0
Cute Mamy :
wanaume mwaongoza
2026-08-24 19:03:58
0
asmaa_honey12 :
asilimia kubwa ya wanaume ndio sbabu ya hili
2026-08-25 07:09:53
0
ZaituniAthuman :
mwaka mzima mume hajui kumtumia mke wake message anaona mke Hana maana lakini mchepuko anaulizwa Kila mara Hali yake. umsaliti Kwa wanaume ndo Wana adilisha wake zao
2026-08-25 05:20:34
0
farhiyah :
kwa sababu hao wanaume hawana muda na wake zao wanajifany bsy n kazi ila michepuko inapewa airtime lazim tujiongeze bhn nani ataka kufa kwa kisukari ndoa sio jela babu🤣🤣🤣
2026-08-24 23:27:45
0
ABDULHALIM ALI :
hilo tu
2026-08-24 23:08:17
0
moddykey66 :
how can a woman be busy from morning upto evening and expect a man to be silent?
2026-08-25 06:18:29
0
Quite A :
👌👌👌
2026-08-24 15:11:00
0
To see more videos from user @nuru_podcast, please go to the Tikwm
homepage.