@chandolaptops: Mara nyingi tumekuwa tukiwapa kipaumbele wadada waitusapoti na sisi kuakikisha tunawapa sapoti kwa kile ambacho wanakianzisha kwajili yao huyo dada amekuwa akituamini na kununua laptop karibia zote na sisi tumekuwa tukimtua kwenye matangazo yake sasa ni muda wa Chando laptop kumsapoti kwa kile ambacho amekianzisha anaitwa @_Ms.Fetty🦋💙 amefungua duka pake ambalo lipo mwenge plaza number18 anauza mikoba viatu pamoja na nguo karbu chando laptop tusaporti 0678484060 #tanzaniantiktok🇹🇿 #rwandatiktok🇷🇼 #southafricatiktok🇿🇦 #ugandatiktok #kenyantiktok🇰🇪