Sisi tuletee kuwa maulidi ni ibada na namna ya kuifanya
2026-08-25 05:41:56
1
Swahib :
kwaiyo kwakua wao wanakosea ndo na sisi tunakosea?
kilamtu atahukumiwa kwa makosa ya nafsiyake
kinachotakiwa ni tushindane katika kufanya yanayomridhisha Allah sio katika kushindana kwa maasi
2026-08-25 06:58:39
0
Ghanzi Dhakit :
hayo yote ni unao ongea ni mambo ya uishia
2026-08-25 02:55:34
0
badranbadran229 :
Umetoa hoja kuwa maulidi yafaa ama ?
2026-08-25 09:06:29
0
Swalahudini Ibrahim :
unaongea nn Yan????
2026-08-25 07:08:27
0
Mussa Mohamed :
Katika jambo ambalo mashia wamefanikiwa kuwateka Waislam, ni katika jambo la Maulidi. Hata hivo, haki siku zote lazima isimame. Haki huwa na nguvu kidogo kidogo. Hivi leo, kidogo kidogo maulid inapwaya. Hasa itabaki kwenye maserikali.
2026-08-25 03:33:31
0
abuu :
ili uweze kuonekana na weww nimkweli onesha
2026-08-25 08:36:49
0
Juma Abdallah :
Acha tu nisitie neno kwenye ayo maneno yako
2026-08-25 08:48:16
0
Ramah :
Sheikh tafuta 'ILMU yeny manfa'a ndugu yangu
2026-08-25 08:57:08
0
abuu :
alafu kijana mwenzangu hii ni dini dini haitaji ukibaraka wowote
2026-08-25 08:38:15
0
ابو سهيل حفظه الله :
ywaofahamu ndio maana ywadumu nayo
2026-08-25 09:51:37
0
farid1952 :
hata kama Sudais anazo kasoro lakini amezungumza ya kweli Kwa tusiangalie kasoro ya mtu tumfwate Allah na ya mtume aliotufundisha tusifwate MashAllah tutakuja juta baadae
2026-08-25 08:37:46
0
To see more videos from user @abdulhalimmrjn, please go to the Tikwm
homepage.