@djsma255: MAMBO 10! KILA MTANZANIA ANAPASWA AJUE KUHUSU BWAWA LA MWALIM NYERERE #DJSMA #DJSMA255 #ADVENTURE #TANZANIA #AFRICA #daresalaam #travelvlog #SNS #GEOPOLITICS #FOREST #History #JNHPP #RUFIJI

SMA
SMA
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 06:33:57 GMT
53692
2963
129
78

Music

Download

Comments

makuyunifinest.tz0
MAKUYUNI FINEST :
Legendary Never Die🔥🔥🔥
2026-08-25 21:00:07
0
shabanimakolela73
Sheby 255 :
I love Tanzania and am feel veery proud to be Tanzania’s
2026-08-26 00:23:14
3
mbekimbukwa
jembe lao :
proud being Tanzania
2026-08-25 07:53:10
1
user131561855
user131561855 :
Sasa tunaomba mama umeme upuguee bei wa elf 10 ziweee unit 100
2026-08-25 15:18:15
10
user8062727472180
Mr wachu :
magufuli alikuja kwa kusud la mungu mwenyewe!
2026-08-25 17:01:15
17
chosen.one2683
chosen one :
Heche alisema bwana halina maana yoyote kuliko mtu moja kutekwa,,,pengine yupo sahihi lakini sizana serikali inamteka mtu ambae haha hahatarishi usalama wa nchi.
2026-08-25 09:07:38
16
user52226211839437
Otieno :
umeme uwe kama sauth Africa uswairini umeme bureeee
2026-08-25 15:06:48
2
nusazpro_143
Saimon saria tindi :
Kabla ya kuuza nje kwanza watupunguzie bei jaman🙏
2026-08-26 07:16:08
2
sizeyako8
SIZEYAKO :
Wazungu wakiona munataka kufanya kitu endelevu hawapendi ,wanachokitaka wao waone kila kitu tunawtegemea mboni tulishasoma historia ila bado watu hawataki kuelewa
2026-08-25 08:50:20
7
diffany2020
diffany2020 :
wanao nufaika n wachache
2026-08-25 09:34:49
1
tomnaabona
Tom Naabona :
Sio kweli, pesa nyingi ilikopwa
2026-08-25 09:55:29
1
dallydominickgmail.com
Dalmatius P.G.F :
mbona iringa umeme unakatika tuuuuuu
2026-08-25 19:04:17
1
arr0w123
Arr0w :
2026-08-25 06:47:09
1
user2345638670211
SHAZOMILL :
ndio watupunguzie bei ya unit sasa
2026-08-25 09:58:35
2
saheeb4790
Saheeb :
Sasa Mbona umeme bado unakatika?
2026-08-26 08:11:28
2
boniventuretz
Boniventure tz :
Ili tujivunie umem uwe bei nafuu lakin serikal yetu inawaza biashara ipige dili lakin sio unafuu kwa ajil ya wananchi
2026-08-26 04:35:32
1
emanuelmwangulumb
Emanuel Mwangulumba :
Mwenyezi Mungu hapendi kulalamika
2026-08-25 18:48:48
1
mussasulleiy
Mussa Sulleiy :
sasa mbona bei hazishuki??? acheni ujuaji
2026-08-25 19:04:11
0
msembeti
lawrence :
bro hongera kwa eiimu sahihi kwa jamii
2026-08-25 16:11:06
1
mwasongaranch
Mwasonga Ranch :
uhakika tunaweza @🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2026-08-25 15:27:46
1
fabian.lutobeka4
Lutobeka tz 🇹🇿 :
kama ni umeme ni wetu Kuna haja gan yakuwa tunauziwa bei kubwa me binaf naomba unit Moja iwe inauzwa hata shilig100
2026-08-26 05:40:17
1
shekhe.tembo
SHEKHE TEMBO :
yaani wewe Dj SMA, Wewe ni "KIPARA GENIOUS" masha-allah. hadi sasa umeshakuwa Mtu muhimu sana kwa vijana wa Gen Z, Allah akuhifadhi kaka.
2026-08-25 08:54:15
4
lgs1305
LGS :
lakini kwa tabia ya nchi yetu SMA unaweza kuta wanapandisha bei ya umeme wakasema uendeshaji mgumu, NCHI YETU 😢
2026-08-25 17:32:08
0
tinnysix6
Tinny six :
hakuna kuuza umeme nje wakati tulio nao unakata Kata, labda tuazimishe miaka kuanzia 10 bila umeme kukata ndo tuwagawie majirani zetu Kenya
2026-08-25 14:45:18
1
valley_diesel
valle veruli :
ni kweli kaka tunatakiwa kujivumia ilo aina shaka shida yetu sisi watanzania baadhi ya wasimamizi ni wabinafsi kwa nini nasema hivyo si unaona tuna umeme wakutosha itakuja kutokea mgao wa umeme nchi nzima .
2026-08-25 08:31:31
1
To see more videos from user @djsma255, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About