@lawengroup: Kupitia shirika la Lamu Women Empowerment Network (LAWEN), linalojikita katika masuala ya amani na mshikamano katika jamii, tumepata nasaha muhimu kutoka kwa Mzee wetu, Mwalimu wetu na Ustadh, Sheikh Fadhil Mdathir, akisisitiza umuhimu wa kusuluhisha migogoro, kuzuia vita na kujenga amani katika jamii. Ameendelea kutukumbusha kuwa amani hujengwa kwa hekima, uvumilivu, kusikilizana, kusameheana na kuheshimu tofauti zetu. Tunathamini sana mafundisho na mwongozo wake katika juhudi za kuimarisha amani, mshikamano na utulivu katika jamii yetu, kwani amani ni jukumu letu sote; tuilinde, tuihimize na tuijenge kwa pamoja.
LAMU WOMEN EMPOWERMENT NETWORK
Region: KE
Tuesday 25 August 2026 07:18:32 GMT
Music
Download
Comments
⚽️👕Sõmõ Cõllectiõn👕⚽️ :
great work lawen🫡
2026-08-25 19:11:29
2
halimetbhay :
mwalimu wangu,mashallah mungu akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwenye njia ya sawa
2026-08-25 14:47:04
4
abuza :
Mungu Akulinde n maneno ya watu n ukupe umbry mrefuu uweze kutuelimisha daima mwalimu wngu
2026-08-25 19:25:41
3
kajaa baba :
mungu akulinde mwalimu
2026-08-25 18:47:47
3
Cateejah🦋 :
Allah amuhifadhi daima babangu❤️
2026-08-25 16:07:56
2
sili kwako 005 :
mashallah
2026-08-25 18:16:05
1
Twister gwal :
mwalimu wangu Mungu akupe umri mrefu
2026-08-26 07:04:32
0
Happy nation :
Mashallah ustdh sheikh maneno mazuri iko wapi rasini
2026-08-25 22:08:15
0
Tr.Muna :
Mungu akuhifadhi mzee wangu
2026-08-26 05:11:36
2
mayrah :
mashallah
2026-08-25 14:33:50
0
Zahira_Moha3 :
Shekhe uwe ni nvundifu na vachu vako yambo lindakwisha kuchendeka halidi ndakwisha kuvuawa vanafik vakuru ini
2026-08-25 16:48:45
0
To see more videos from user @lawengroup, please go to the Tikwm
homepage.