dada achana na hofu zakooo freeeeedom is coming tomorrow God is always fighting the battle which human being can't do it ........God is in control atafanya njia mahali pasipo njia....Mungu aligawanya Bahar ya Shamu ikawa nchi kavu Wana wa Israel wakaenda zao why not to us??? Mungu hashindwi na jambo let us always pray for our nation and always voice up for the evils without any fear
2026-08-26 20:07:19
0
kahwa123 :
NENO la Mungu linasema Mungu atatupigania nasi tutanyamaza kimyaa acha Mungu atende mawazo yetu sio sawa na mawazo ya Mungu anatuwazia mema
2026-08-25 11:48:30
3
Success Eliya :
Tuzidishe maombi tu Mungu yupo atatupigania hili taifa ni la Mungu atakae liharibu Mungu atamharibu mtu huyo
2026-08-25 11:25:47
5
lazachris :
dada yangu hakuna kiongozi anae jiuzuru alafu apost barua mtandaoni huo ni mchongo wa kumlazimisha ajiuzuru.
2026-08-25 17:56:02
2
Angelina Nyole :
kipenzi 😓😓😓mimi nimajozi natama niamkie nchi nyingine samia wanaucha wanin
2026-08-25 12:10:50
2
KIDUME88 :
MIPANGO ya MUNGU si ya mwanadamu
2026-08-25 17:55:53
1
gloriousfortunata :
yaani😭
2026-08-26 10:08:26
0
the true boy! :
dah☺️☺️☺️
2026-08-26 11:09:16
0
user5325690584624 :
DAH!
2026-08-26 04:49:40
0
👑$@v@g£👑Winn£r💦 :
Mungu aishie yu pamoja nasi binafs inimeshtuka sana lakini Tumuombe yeye
2026-08-25 16:12:56
1
29kabili@2025 :
tunaletewa mtu gani yupi na uyo mtu anahusihana nan watanganyika hapana hata amlete malaika ccm hayupo na kama yupo hakikubaliana na uteuzi uo ni mshiliki wa damu na si kuchaguliwa na watanhanyika.
2026-08-25 11:54:48
2
it's_lavety :
inaumiza aise eh mungu tutazame kwa jicho la huruma😪
2026-08-26 00:28:26
0
selesti :
mungu yupo bize sana
2026-08-25 19:44:07
0
@msdj_genz :
atajua mwenyewe achague amtakae kama alivyomchagua waziri mkuu watayamaliza wenyewe waliomchukua wakaenda kumuapisha kule kambin kwao jamani sisi hatuna chakufanya miaka 4 sio mingi...
2026-08-25 20:42:53
0
Real dady :
Moyo wangu unaumia sana.
2026-08-25 20:47:44
0
kit .b :
hakuna hatari tutapambana na atakae ingia huyo tena ajihudhuru mamae
2026-08-25 14:30:14
1
Sele :
inauma san dada angu watu wanachukulia poa ila tupo kwenye htr san
2026-08-25 13:30:13
1
Enock Makoga :
ni msiba mkubwa sana
2026-08-25 15:14:34
1
Loveness Loveness :
Namwamini MUNGU yupo atatuokoa tu. hatuna namna
2026-08-25 16:38:58
0
stephano malimi :
shauli tufanye je.
2026-08-25 18:43:33
0
amnex🎊♥️ :
Mtanikumbuka Kwa mema si Kwa mabaya
2026-08-25 19:20:47
0
362079 :
ukweli ndio tanzania
2026-08-25 15:23:19
0
KHOFU ALLY MLEWA :
kwani yeye ndie wakwanzah
2026-08-25 11:26:38
0
To see more videos from user @double.s749, please go to the Tikwm
homepage.