@millardayo_: Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi leo tarehe 25 Agosti 2026, amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulisha kuwa ameamua kustaafu Siasa na Utumishi wa Umma hivyo atajiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzingatia Ibara ya 50(2)(c) ikisomwa kwa pamoja na Ibara ya 149(2) ya Katiba kuanzia tarehe 04 Septemba 2026. Kwenye barua yake Nchimbi ameeleza yafuatayo “Tarehe 27 Agosti 2025 nilimuahidi Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa nitamsaidia yeye na Nchi yetu kwa uwezo wangu wote na kwa uaminifu, pia nilimuhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji Makamu mwingine wa Rais nitaachia nafasi hii” “Nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu, kipekee namshukuru Mhe. Rais na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa imani yao kwangu, natumia nafasi hii pia kuwashukuru Watanzania wote kwa ushirikiano mkubwa mlionipa wakati wote niliokuwa katika utumishi wa umma, nawahakikishia kuwa nitaendelea kuwa Raia mwema wa Tanzania” #AyoTV na #millardayo zimethibitishiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kuwa taarifa hiyo ni kweli na kwamba taarifa rasmi kuhusu uamuzi huu wa Dr. Nchimbi itatolewa hivi punde. #MillardAyoBREAKING
millardayo
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 09:53:02 GMT
Music
Download
Comments
Mogbea :
.....hahahahahah.... mtego huu ili aje awe presidaa election ijayo BIG NOOOOO
2026-08-25 11:34:12
0
Masai 🇰🇪 :
Sasa si angetulia apate urais kama mwenzake alivyopata urahis katika njia Rahisi 🥺🥺
2026-08-25 10:26:32
138
naji :
tumebaki raia na sisi tujiuzuru kuwa watanzania
2026-08-25 09:56:50
256
Ester🇹🇿 :
nilikuwa nasubiri upost wewe ndo niamini kama hii taarifa ni ya kwel
2026-08-25 10:47:21
90
Miriam Masatu🇹🇿 :
hongera kwake,ana maono
2026-08-25 12:02:48
0
Lilzams📉 :
Very dramatic
2026-08-25 11:31:10
1
Sunset :
That’s why I like ayotv coz the news are full
2026-08-25 10:40:51
0
Sultan Ali :
asnte yuda kwakutuwachia chama chetu😅😅😅
2026-08-25 11:21:35
15
zuuh_chocolate :
najua haiwahusu ila leo nimeachwa😭😭😭
2026-08-25 10:47:31
33
@robynnko11 :
ukiona hv jua anayo nia njema na watanzania
2026-08-25 10:41:24
54
Jennifer :
asipo tekwa cjui
2026-08-25 10:38:02
28
AgroWear Enterprises :
pray for our nation and leaders 🙏
2026-08-25 10:02:06
0
really lennah :
Me naombeni nieleweshwe kwani kwa katiba ya Tz makamu Akijiuzulu uchaguzi si unaludiwa au
2026-08-25 11:11:26
8
𝐌𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐓𝐙💯 :
michezo iyo tunaijua
2026-08-25 10:31:11
5
uncle willz :
nataka na mama samia ajihuzuru achiee madarakaaa jamn😭😭😭
2026-08-25 10:00:59
10
Miss mgopa 🦋♥️🧚♀️ :
Kumbe kuna makamu eeeh me nishasahau nilikuwa sijui kabsa 😂😂😂😂
2026-08-25 11:13:51
6
mepukori jr :
Guess what
2026-08-25 10:42:56
0
wisperfect :
kazi ishakuwa ngumu kila mmoja anakwepa lawama
2026-08-25 10:49:20
56
John Samson :
Kama unamkubali jamaa weka like❤️❤️
2026-08-25 10:19:44
6
R B ole komoi :
usishangae naye akapotea kama balozi polepole 😂 maana hii nchi siamini 🤔
2026-08-25 10:11:04
5
Mvax7175 De Belloh🇧🇷 :
wameanza kukataanaa
2026-08-25 11:32:37
2
🦋🌸♧mrs~ibraah♧🌸🦋 :
NYIEE JAMANII 😅😅🙌
2026-08-25 11:32:50
1
To see more videos from user @millardayo_, please go to the Tikwm
homepage.