@taimediatz: #HABARI Moja Kati ya kauli ambazo zitabaki akilini mwa Watanzania, zilizowahi kutolewa na Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kabla hajaandika barua ya kujiuzulu ni pamoja na kauli yake ya kuwataka Watanzania kupigania kupata Katiba mpya. ✍🏿@mariamshabanitz #taimediatz #taimediatv

taimediatz
taimediatz
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 10:43:56 GMT
208836
15120
257
499

Music

Download

Comments

kidoatz
kidoatz🌸🦋✨ :
Kuna kitu hakipo sawa wallah🥺💔🙆‍♀️
2026-08-25 13:02:31
197
gwandobusestz
khalif idd :
hapa ndio naamini sasa kweli yanga bingwa
2026-08-25 11:58:37
104
user5157574681814
giana 🎀🎀 :
si bora tuongozwe na jeshi
2026-08-25 13:30:59
43
charleswilsonlyim
@Chazy✨Lyimo. :
Natafuta mdada mwenye mimba twende clinic ili nipate net, mbu wataniua jamani 🥺😂
2026-08-25 13:11:55
48
be_summy
upcoming_public_figure🌹 :
something Is Fishy here. Let's Pray For Tanzania🇹🇿
2026-08-25 15:19:59
3
user3978303881844
nolliny :
daah ningekuwa mim ningesema ticktok tuwe tuaingia bila bando coz inasaidia sana watu kutoa stress😅
2026-08-25 12:21:14
227
teddyfaustin3
Bby T ❤️🥂 :
Kama napewa Nafasi ya mwisho ya kuwaambia wa Tanzania nitasema Tujiuzulu kuwa wa Tanzania
2026-08-25 12:04:43
71
philimonbujuru
boil :
main land
2026-08-25 14:49:17
0
user1214528651867
kunguru :
oz. umetisha
2026-08-25 13:43:56
1
ladysize7
Moonlight :
our feature president
2026-08-25 14:31:49
0
fairsngogo
Ngogo Daughter🥰 :
Mmmmmh
2026-08-25 13:46:54
0
sarahsariko
s²mob ❣️ :
sema tupambane si pambaneni🤣🤣🤣🤣
2026-08-25 12:01:52
4
dayanaclothingstore
Diana Mgallah :
Kama vile kuna kitu au???🤔🤔🤔
2026-08-25 12:42:07
11
martingwaha615
Martin Gwaha :
Jmn katiba hii mpy imemaliza viongozi kama kass majaliwa , idris mpango hadi nchimbi dah mola atupe mwisho mwema☺️☺️☺️
2026-08-25 12:34:45
19
mimylee_2
mimylee_2 :
cku zote mbona hujasema
2026-08-25 11:22:16
9
mansiz46
mansiz :
hii ndio kauli iliyomtoa kwenye ulingo wa siasa
2026-08-25 12:40:24
7
user4816608316378
Richard daughter :
uku me sitak bhana kwan A list kajala imekuaje
2026-08-25 11:37:33
5
sarah.kidd148
sarah kidd⚘️🕊 :
Tunatumia katiba ya 1977 hadi leo duuh🤔 na ndio mana mm nipo busy tuu na tiktok hayo mengine mtajua wenyewe bhana kikubwa nakula nashiba 😂
2026-08-25 12:50:58
17
mikitalentorg1
mikitalent@org :
uko tushapit mbon mm nin katiba yangu uku
2026-08-25 14:27:35
1
yohana.juma072
Joan :
Katiba ya mwaka 1977 tubadilishe leo nyie mmatafuta ugomvi anyway kazi iendelee
2026-08-25 13:33:49
0
jacklinegamaliely1
..ღ 🦋𝓒𝓱𝓮𝓻𝓻𝔂 𝓑𝓪𝓫𝓮❥☘ :
20/20 mpo
2026-08-25 13:26:42
0
mkorogaji
Arusha view🍷 :
au tupange tarehe nini
2026-08-25 14:23:18
0
user8834498127811
Elizabeth paul :
yanga bingwa😁
2026-08-25 12:55:10
2
To see more videos from user @taimediatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About