@alamnutv: Katika mojawapo ya mihadhara na harakati zake za kusimamisha ukweli na kuelimisha jamii, mwanachuoni na da’ii mashuhuri Abul Aitām Sheikh Hassan Nyamweru alitoa ufafanuzi mkali na wa kina kuhusu upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu wanaomwita Mama wa Waumini, Bibi Khadija bint Khuwaylid (Radhi za Allah ziwe juu yake), kwa jina la kudhalilisha au lisilo stahiki la "Mshangazi". Hapa chini ni muhtasari wa hoja na msimamo wa Sheikh Hassan Nyamweru katika kukemea tabia hii na kubainisha ukweli wa historia ya Kiislamu.
Al Amnu Tv
Region: BI
Tuesday 25 August 2026 11:01:55 GMT
Music
Download
Comments
Ndayishimiye Omar :
apo ndo mnakosea masheikh wa burundi kuliko kumfata sheikh zuber umlinganie kama alikoseya mnakosoana kweny mitandao
2026-08-25 12:20:11
13
amiss youssuf :
mwanamk wa myaka 40 sio mkubwa sheikh 50 nakubal apn 40
2026-08-25 13:09:26
3
Prince de zamunda :
Sheikh Zuberi anapenda masifa sana
2026-08-25 20:36:57
4
user5394454836581 :
qauli yenye nguvu ni 40
2026-08-25 11:14:45
1
💎ummuh Rahma💎 :
neno mshangaz mbn kawaida tu ata mim nimshangazi🤣🤣🤣
2026-08-25 21:49:56
3
Humeid 👑 Igwe :
huyu sheikh simjui Jina Ila nampenda sana kwajili YA Allah
2026-08-27 01:56:59
2
Seaclif :
Asante sana Sheikh kwa kunyoosha kauli
2026-08-25 12:59:36
3
Jimmy :
hafidhwakaLAHu Sheikh
2026-08-26 08:53:29
0
Ayubu Mwakipesile :
Ujumbe utamfikia Inshaa Allah
2026-08-25 12:09:50
2
Amida :
kweli kbsa
2026-08-25 17:57:35
0
ibrahimpole2 :
sasa ushangazi unaanzia myaka mingapi?
2026-08-25 15:04:10
0
khadidja omari :
sheikh zuberi ameitumia vibaya iyo kauli ya kuowa mwanamke mwenye mali ama aliekuzidi umri kwa kusema mshangazi tena anashabikia
2026-08-26 04:46:55
1
star usher :
hikma sio.kukosoana mitandaoni
2026-08-25 20:55:50
0
Mariam Suleimani :
sasa bya endahekana tulibitowa wapi tusha left group
2026-08-25 14:46:42
0
hassan nzeyimana :
Yani awa ma cheick zetu shida kweli
Umoja ka kojowa ungine anajamba
2026-08-25 23:37:32
1
Abdu swamade yussuf :
Ni ukwel sheikh kwel mtum hawez
2026-08-26 09:27:04
0
Masou :
masha allah kweli shekh wetu 💕
2026-08-25 21:09:47
0
user5394454836581 :
Anazaa sheikh hata mkee wanabii iberahima Alizaa nanimzee sio hoja kuzaa mtu nimkubwa على الله يسير
2026-08-25 11:19:07
4
sadou :
Bimesem sheikh zuberi
2026-08-26 23:55:43
0
Alihamdoulillah🤲♥️ :
Allah akulipee
2026-08-25 15:25:08
0
Josiane Mavukiro :
apo ndiyo munapo koseya ma Sheikh wetu wa BURUNDI vyema mufate Sheikh zuberi umulinganiye apa inaokena ni upinzani Ila samahani Shekh wangu
2026-08-25 16:51:22
2
uwingeneye Shadia :
𝘬𝘸𝘢𝘯𝘪 𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘮𝘴𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘻𝘪 𝘯𝘪 𝘵𝘶𝘴𝘪 𝘫𝘢𝘮𝘢𝘯𝘪?
2026-08-25 19:36:48
1
LA VIE AUGUSTIN :
sasa ibrahim alimzaa na nani?
2026-08-25 14:26:31
1
mali_Safi👲🏿✊ :
Napita tuu
2026-08-25 13:06:30
2
Karim abdul :
Mshangaz sio myaka mshangazi ni kuwa nauwezo kumzidi mwanaum
2026-08-25 12:24:51
3
To see more videos from user @alamnutv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.