@jamvilahabari: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel John Nchimbi, alitoa hotuba yake katika hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) mkoani Pwani, kabla ya taarifa za kujiuzulu kwake. Katika hafla hiyo, Nchimbi alitengewa muda wa dakika 10 kwa ajili ya kutoa hotuba, lakini alitumia takribani dakika moja na nusu pekee, akimaliza hotuba yake kwa ufupi. Hafla hiyo ilifanyika Agosti 22, 2026, wakati Rais Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi JNHPP, mradi wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme. #jamvimediagroup

jamvilahabari
jamvilahabari
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 11:40:32 GMT
14059
526
4
8

Music

Download

Comments

sabinamanonga
Sabina :
vema .mama anajua yote acha amalize mwenyewe
2026-08-25 19:05:46
0
ebeathnchimbi0
[email protected] :
⭐🤝
2026-08-25 20:06:20
0
yusuph.samson61
Yusuph Samson :
😂😂😂
2026-08-25 15:25:16
0
To see more videos from user @jamvilahabari, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About