kuna baadhi ya ndege akiwemo bundi huwa wanajua kwa mtu au mnyama anaekaribia kufa endapo Seli za mtu zinapopungua au zinapokufa niuwezo wao walipewa na Muumba,ndio maana Bundi anapotua Kila siku juu bati au mstimu hapo mahali aitochukua Muda mrefu kutatokea msiba