@abdurahmanijuman: YANGA INAWACHANGANYA WENGI MSIMU HUU…. NA NDIO KWANZA MICHEZO MITATU IMECHEZWAA….. KAZI IPO WALLAH 😂🤣🙌🏾 #Nasoma comments ✍🏽 #Nifollow @abdurahmanij4 #fyp #foryou #fypシ
yaani hakuna siku mchungaji akaongea kimpira leo kaongea ukweli na mpira anaujua
2026-08-25 15:05:14
19
Said Musa :
Pointi mchungaji tukiacha ushabiki pembeni
2026-08-25 14:50:49
17
🤍Vicent Mrema🤍✝️ :
Ngojeni niwaambie kitu watani zangu mashabiki wa simba... Kama mkitaka kujifananisha na yanga mnaweza mkajiona kwamba hamna timu bora. Ila ukweli ni kwamba timu ya simba iko vizuri sana tena kila idara na ndio Tim pekee itakayoipa presha yanga isitulie.. Pia timu yangu ya yanga sio kwamba Inacheza soka la Africa hapana ni soka la kuwaonea tu ligi ya ndani ila niwaambie tu yanga hatoboi kimataifa hata robo inawezekana asifike.. Timu yetu imeumbwa kutawala soka la ndani hata iweje kimataifa ni level nyingine