@death_or_state: TANZIA: Ofisi ya Makamu wa Rais imetangaza Kifo Cha mtumishi wake, Bi. Kulwa L. Ngusa, aliyekuwa akihudumu katika nafasi ya Upishi katika Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais. Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Kulwa alifariki dunia Agosti 21, 2026, majira ya saa 12:00 jioni katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, alipokuwa akipatiwa matibabu. Taarifa hiyo imeeleza kuwa taratibu za mazishi zinaendelea kuratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na familia ya marehemu. Uongozi na wafanyakazi wa ofisi hiyo wametoa pole kwa familia, ndugu, na jamaa walioguswa na msiba huo. #maguisratv #tanzianiatiktok🇹🇿 #nchimbi #MakamuWaRais
†✞ 𝕄ℝ ℙ𝕃𝔸ℕ𝔼 𝔹 ✞†
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 14:37:44 GMT
Music
Download
Comments
💞Honey❤ :
jaman hii nch nn lakin roho inauma jaman yaan katangaza Leo tu kuachia mamulaka ndo kafiwa na mpishi wake jaman hii nch MUNGU anawaona wote wanaotenda maovu yaan roho zinatuuma sana 😭😭😭💔🫴
2026-08-25 16:39:28
39
amanda g :
vita imeshaaza
2026-08-25 14:45:19
54
KING ALEX BYAMUNGU :
jamani jamani jamani hakuna mi tanzania nahama naenda zangu bukoba
2026-08-26 09:12:31
20
Mwinuka jr :
Dah .time will tell
2026-08-25 16:29:18
4
edyvin :
Pole baba
2026-08-25 17:53:24
1
fransisconkuyumba :
Watanzania Pambaneni mpate KATIBA mpya
2026-08-25 19:35:13
14
Oresto Mpochele :
pole san
2026-08-25 15:50:49
1
Rachel designer ♥️ :
pole kwa hilo,naomba nirithi kiti cha upishi cha huyo mama
2026-08-25 18:43:45
8
John product :
rest in peace
2026-08-25 17:40:55
1
Enjo A :
poleni
2026-08-25 16:18:20
1
KWEBA☠☠☠26🦅🦅🦅 :
pole sna.mama.angu mungu akupunguzie dhambi zako🙏🏻🫡
2026-08-25 15:12:18
28
Intropact 🤫🤔🫡 :
Tanzania tumeisha 😭😭😭😭😭 mpaka tujue kinacho endelea so leo
2026-08-25 18:45:58
8
Mwema Eliudi :
pumzika kwa amani
2026-08-25 16:55:18
7
baby j♥️♥️ :
Daah hii dunia jmn
2026-08-25 16:53:49
5
Chodo :
Kwa hekima na maamuzi magumu Samia angeachia ngazi maana amepoteza mvuto
2026-08-26 03:17:03
14
neemamsemwa261 :
kunakitu chakutafakali, ktk hili🤔🤔🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2026-08-25 18:12:32
8
Josephine Asheri :
MUNGU tunaomba Utunusuru na haya yanayo endelea😭😢🙏🙏
2026-08-25 16:42:58
7
mama liya :
Daah Polen san wapendwa
2026-08-25 15:32:06
7
user9236288552517 :
dah yameanza kuitika maana Dua za watanzania duh rest in peace mommy I love you too much
2026-08-25 15:24:07
8
FM :
ccm ,,,ccm,,,ccm,,,ivi mnataka nn Tanzania tuwapatie?
2026-08-25 15:32:34
10
fan jo :
mmm
2026-08-25 18:09:13
1
🩷🩷✡✝𝐀𝐈𝐄𝐌✳✝𝐎𝐃𝐃𝐎𝐇🎀🎀 :
Bora niende njombe sio Tanzania
2026-08-26 12:12:04
3
morinyo barber shop :
jamaniiii
2026-08-25 17:45:25
1
Chilanso17# :
hii ilikuwa ya Emma
2026-08-26 10:22:40
1
Mwajuma BwanaAlly :
kwaio gafla
2026-08-25 18:06:45
1
To see more videos from user @death_or_state, please go to the Tikwm
homepage.