@islamicswahilinet: HUUNDIO MUDA AMBAO MTU ANAPSWA KUWA NA FURAHA NA SIYO SIKU YA KUZALIWA/HAPPY BIRTHDAY "Mwenye kujenga msikiti kwa ajili ya kumtukuza Allah, Mwenyezi Mungu atamjengea nyumba ya dhahabu peponi." Huu ni wakati wa kuwekeza kwenye nyumba yako ya milele." Kila Tofali, mfuko wa saruji, na kila shilingi unayotoa katika kukamilisha ujenzi wa Nyumba ya Allah UTENGULE, WILAYA YA KILOLO MKOANI IRINGA ni sauti itakayokutetea mbele ya Allah.Usikubali fursa hii ikupite. Inunue pepo yako leo kwa kile kidogo ulichonacho kupitia: 📱 M-PESA: 0769 756 490 📱 YAS | MIX: 0715 868 990 📱 HALOPESA: 0619 115 190 JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA #islamicswahilinet
kwahiyo hambal anapingana na tume maana mtume alikua muda woote kanuna au imekaaje
2026-08-25 20:16:59
2
Mussa Mtama :
Ndoa si furaha auui??
2026-08-25 20:35:58
1
sweet Saphia og♥️♥️ :
eeh jamani me mbona nashindwa kuelewa wallah
2026-08-25 15:56:22
0
mamuu 🌹🌹 :
mnatuchanganya2
2026-08-25 15:26:02
0
jambojoy :
Hio furaha unaosema shekhe ya Imma Ahmad ni ya Akhera na ya duniani ni IDD mbili ya Adhha na fitri na hizi ni za jumla yaani pamoja,lakini furaha ya kibinafsi ni kuzaliwa sababu ni zawadi hukufanya maombi ya kuzaliwa Bali ni amri ya Mungu ujio wako duniani, kwahivyo kushukuru na kufurahika kwa kuumbwa hio ndio furaha ya kibinafsi ya kiduniani,ama wapinga Hilo shekhe? Allah ana Hikma ndio mtume alikuwa yatima mapema,sababu lau wazee wakee wangekuwa hai,wasingeacha kusherehekea Nuru ya mtoto wao katika uislamu.
2026-08-26 10:13:59
0
DE SMART MSAFI 🌍🇹🇿 :
🤝
2026-08-26 04:25:04
0
Mussa Mtama :
Acha watu wafurahie mzazi ya Mtume
Iyo swairat akifundisha nani kama si tunayemsherehekea
tuacheni ufinyu wa elimu
uislamu si dini ya mtu
ni dini ya Allah
Uharamu au Uhalali ni kutokana na Madhara
mawlid yanatuunganisha
2026-08-25 20:38:29
1
I'm Saeed🫥 :
ukipata elimu kwa kukariri ni tofauti na kuelewa🙌 unaweza ukabishana hata na shekhe kumbe alikariri
2026-08-26 04:44:07
1
Isssa Ismailly Issac :
HAKUNA KUCHANGANYIKIWA HAPA NI ELIM TU NA KATIKA NJIA ZAO ZA WATU WA BIIDA NI KUPOTEZA WATU WASIO KUWA NA ELIM WANAWAMBIA ET KUMTAJA MTUME MUHAMMAD S.W.A NI DHAMBI NAKUSOMA QURAN NIMAKOSA . SASA ELIM INASEMA SIO MAKOSA KUSOMA QURAN NA KUMSWALIA MTUME WETU ILA KOSA IBADA HIYO IMEPATIKANA WAPI...?
2026-08-25 19:01:40
1
Wiseman@mbelwa🕋 :
sawa basi nunaaaaaa hujalazmishwa aaah
2026-08-25 16:34:40
2
Bakar Said :
wew ndo ume sem maulid ni birthday
2026-08-25 21:49:07
1
theblackboss25 :
❤️❤️❤️
2026-08-25 15:14:59
0
sheikhmuftiibrahim🇸🇦 :
🤣🤣🤣🤣
2026-08-25 17:26:46
1
jomba jimu :
🥰🥰🥰
2026-08-25 15:11:52
0
To see more videos from user @islamicswahilinet, please go to the Tikwm
homepage.