@dr_daniel_md: Mtoto chini ya mwaka 1 apewe maziwa ya ng’ombe? 🥛👶 Wazazi wengi huamini kwamba maziwa ya ng’ombe ni chakula kizuri kwa mtoto kwa sababu yana virutubisho au Mbadala wa maziwa ya mama. Lakini kwa mtoto aliye chini ya mwaka mmoja, maziwa ya ng’ombe hayafai kuwa maziwa yake makuu. Tatizo si kwamba maziwa ya ng’ombe ni “sumu”, bali ni kwamba hayajatengenezwa kukidhi mahitaji maalumu ya mtoto mchanga na yanaweza kuongeza hatari ya upungufu wa madini ya chuma na matatizo mengine ya lishe. Katika video hii nimeeleza kwa nini unapaswa kuwa makini kabla ya kumpa mtoto wako maziwa ya ng’ombe. Usimpe mtoto kitu kwa sababu tu “tulilelewa nacho.” Kwanza jiulize: je, ni salama kwa mtoto katika umri huo? #AfyaYaMtoto #Malezi #LisheYaMtoto #MaziwaYaNgombe #drdaniel
Mmezidi sasa 😂😂 yachemke vizuri tu ayo ya kopo mi ndo siyapendi Kama nini
2026-08-25 23:22:51
11
mdudu mnyama AI :
Wanasayansi mnatuchanganya hebu kaeni kikao alafu mje na jibu moja
2026-08-26 12:01:13
9
Grace George :
weee mtoto wa mdogo wangu amekulia hayo baada ya mama yake kufariki akiiwa na miezi 2 ila amekuwa saiv ana miaka 24 karibia aoe
2026-08-25 16:56:34
3
Dijar :
mm mama angu alinkataza maziwa ya ng'ombe kwa mwnang mpka afike mwaka nkambishia nkampa mwnng akiwa na miez tisa aiseee siwez kuisahau hyo sku mm dokta nakuelewa sana
2026-08-26 07:36:26
3
Fetty :
Ndio yalotulea na hawajafa wapo mpaka leo
2026-08-26 04:26:11
2
fareedah💫 :
mm nilikosa mazima kabiisaa baada ya kujifungua na uwezo wa kopo sikua nao kwa wakat huo nikqmpa ya ng'ombe akiwa na miez 4 na mpaka sasa na miez 10 na hana tatizo loloteanakula na anasimama sasa Alhamdullilah ni Mungu tu
2026-08-26 09:16:01
2
Meja🤓Waithera💞 :
mimi yatima nililelewa na maziwa ya ng'ombe na sai niko mtu mzima miaka 21 sijaona shida jamani
2026-08-26 09:56:55
2
Miriam mam huki :
wa kwangu nilimpa formula ila alikiwa anatapika sana mpaka anaishiwa nguvu ila ya ngombe yuko sawa tu.
2026-08-26 05:17:45
1
BINTI pekee na YESU :
awe na umri gani
2026-08-26 04:25:22
1
kadadaa88 :
Dr. upo sahihi kabisaa
2026-08-26 02:47:49
1
nashdamshi :
😂😂 nacheka Kama mazurii
2026-08-26 15:57:19
0
🌹💕🌹💕 :
mdogo ang kakua na maziwa ya ng' ombe japo tulikuwa tunachemsha
2026-08-26 15:59:07
0
user853389210409 :
maziwa huongeza dam nna uhakika tena ng'ombe wa kienyeji
2026-08-26 16:16:06
0
kebbyjohn23 :
Wamenyunywa mama zetu pk leo wamezeeka huu kaka wawapi
2026-08-26 16:21:39
0
PdkOfficial :
Dr apo naomba niongezee apa pia inasababisha insurine resistance
Mwisho wa siku inasababisha Type 1 DM
2026-08-26 15:50:06
0
maaaa2312 :
mm nili lelewa na maziwa ya ngombe na niko na damu 😅😅😅