@salym_kikeke: Taarifa zilizojitokeza Tanzania kuhusiana na kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Balozi Dr Emmanuel John Nchimbi zinaendelea kutikisa taifa hilo la Afrika Mashariki. Mpaka sasa Mamlaka za nchi hiyo hazijasema lolote kuhusiana na taarifa hizo. Ikumbukwe kuwa Dr Nchimbi, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi pia alijiuzulu kufuatia sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili. Hii si mara ya kwanza kwa kiongozi wa juu kujiuzulu Tanzania.

Salim Kikeke
Salim Kikeke
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 15:50:04 GMT
203602
17467
295
514

Music

Download

Comments

shanxaiextra
Unknown :
If I’m ever asked who the finest presenter in Tanzania is, without hesitation, I’ll say: Salim Kikeke a true icon of excellence, class, and professionalism🥰🥰🥰🥰
2026-08-25 18:57:07
1
mobabe2
momobabe😍😘 :
Nchimbi kaona mbali sio bure lets wait
2026-08-25 17:18:41
90
gabriel_humanity99jobs
Angel Gabriel Tomson :
heee😂🤣🤣🤣heee too bad for Tanzania 😂😂🤣🤣heeew😂🤣🤣🤣 so what happens now 😂😂🤣
2026-08-25 17:23:31
1
mpoli.poli
Contractor :
tangu ulivyondoka BBC mm sjawahi kuangalia tena bbc maana dah nilikua nawahi kurudi home kisa BBC london😳😁😁😁
2026-08-25 17:05:27
191
somoe.amani
Somoe Amani :
tunataka marahisi pia WAJIUZURU SIO MAKAMO YA RAHISI TUU
2026-08-25 16:54:49
41
james_romanos
Jimmie :
Sijamsikia Mh. Ezekiel Maige anyway 👍👍👍
2026-08-25 18:50:48
2
hustlewave123
💡 @LearnEarnGrow. :
pole pole yu wapi ??
2026-08-25 17:20:57
1
user3561171748055
Mrs❤️❤️💘🌹 :
🎮bora nkacheze game
2026-08-25 18:06:10
3
0002525ashuu
madam shuu :
my favourite journalist
2026-08-25 19:01:20
0
reward1511
reward1511 :
Umesahu spika wa bunge Job Ndugai
2026-08-25 17:48:56
26
b.vanp
bvanp :
Haya sasa tuambie, Nchimbi kajiuzulu kwasababu gani, maana wengine umewataja na kutiririsha sababu zao.
2026-08-25 17:26:37
17
nyakato216
Omugonzibwa :
Nami nataka nijiudhuru hii ndoa nimechoka
2026-08-25 19:57:30
6
jumanne.ally959gm
Jumanne [email protected] :
hii ina tupa picha gani kuona kiongozi wa juu akijiuzuru
2026-08-25 17:15:02
6
princessara186
Princess p sara :
Mimi ni Salim kikeke wa BBC, alamsik sijui lilikuwa linatamkwa hiv Mimi nishajiamulia🤣🙌
2026-08-25 17:50:28
7
abdallahhamza561
Dallaz :
what is your point
2026-08-25 19:04:49
1
user6106614431481
user6106614431481 :
mbona sijamsikia anasema
2026-08-25 18:38:51
1
mtegoboy2
mkwmwa :
Spika wa bunge ndugai
2026-08-25 18:14:47
1
joycekusaga
joycekusaga :
umesahau Ndugai
2026-08-25 17:34:25
1
nicolebinamy25
nicole :
umesahau spika wa bunge job ndugai
2026-08-25 18:02:29
1
lazarombassa
Mungu ni wetu sote :
hujamtaja Lazaro nyarandu
2026-08-25 18:37:45
1
marambo.shadrack
Marambo Shadrack Raila :
yupo sahihi kabisa
2026-08-25 18:33:35
1
mikemo8688
Mikemo :
brother saa kama hiyo nitapata wapi ?
2026-08-25 18:28:55
2
kian_bey
🐾איסא🐾 :
kuusu makamu wa rais ni wangapi wamejiuzuru
2026-08-25 20:01:10
4
user7320717254269
EssDonny :
Salimu kikeke si urudi tu BBC,Saiv iko Kenya sio London tena,n karibu we rudi tu
2026-08-25 17:54:42
5
brilliant.brill3
Brilliant Brill :
Na Mimi nilijiudhuru ukiranja kule primary school.
2026-08-25 18:15:21
1
To see more videos from user @salym_kikeke, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About