@emanuel_walwa: Je, umasikini ni ukosefu wa pesa au ni mindset? 😱 Watu wanalipwa mamilioni lakini bado ni masikini... Mwenye mindset ya utajiri ataanzisha biashara hata akiwa na laki 5 tu! Tazama video nzima YOUTUBE SCCULT ONLINE TV Je, unakubaliana na hili? Dondosha comment yako hapa chini! 👇🔥 #ElimuYaFedha #Mindset #PawaPod #Ujasiriamali #PersonalFinance

Emanuel Walwa/Pawa Pod
Emanuel Walwa/Pawa Pod
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 August 2026 17:33:13 GMT
72038
2841
135
269

Music

Download

Comments

amani.abdallah0
Amani Abdallah :
njoo migodini uku uone watu wanavyolipwa
2026-08-25 23:38:09
10
muhamed.seleman.s
Muhamed seleman Sultan :
kuzalisha pesa ni kipaji
2026-08-25 19:52:18
14
krs_the_teacher
UNJU REAL ESTATE AGENCY :
Hamna ila wapo wanaopiga million 10 kwa siku
2026-08-25 20:39:25
8
iamfinnesboe
whsfinnest :
Million 10 pesa ndogo sana
2026-08-30 19:34:10
1
big_tz1
BiG_Tz :
mtu alipwe 12M(144 kwa mwaka)alafu alie njaa huo ni uongo mzee! labda walikupanga tu maana watumishi wengi wanaoingiza pesa nyingi hawapendi kujionyesha kwa watu kama wanapesa tofauti na wafanyabiashara wanaflex sana wakipata pesa. umechukua sample ya muajiriwa mmoja unakuja ku generalize kua waajiriwa wote wanalia njaa fanya research vizuri watu wanishi mzee
2026-08-26 07:27:45
9
roseangelo_
roro :
Very true..
2026-08-25 20:41:36
3
muba3582
muba98 :
nalipwa 6,800,000M Kwa mwez naingiziwa posho ya 350,000 Kila tarehe 14 napata 60000 Kila nikingia kazin sik za week end napata 10%kila mwisho wa mwak baada ya maesabu ya kumpuni na malipo yakisha kamilika na bado Sina hela
2026-08-30 05:47:38
4
hump_tz
Humphrey_FXS :
labda sio Mimi million 10 nimetoboa
2026-08-26 10:41:45
2
hardcoregangster1
HardcoreGangster Enterprises :
fact,bro.
2026-08-26 04:04:47
2
_soso_3425
Soso :
CAG mwenyewe analipwa million 5 mpaka 7. Professor analipwa million 5 pekee.
2026-08-29 19:23:48
1
alexander.black.am
Alexander the Great 💪🏿 :
wengi sana
2026-08-26 07:34:22
2
florate_001
florate_001 :
Sasa jmn tusiajiriwe🥹
2026-08-27 09:40:04
1
_.kizo79
🦈 :
sio kweli
2026-08-27 04:36:34
1
sensei.aman05
@Sensei aman05 :
natamani siku Moja nipate nafasi ya kupata Air time ya kwenye media nitoe elimu ya biashara na maisha kiujumla
2026-08-26 19:39:06
1
damianandrew71
Damian :
mwalimu umesema kweli mtupu👍
2026-08-28 17:04:46
1
user8175174595682
Baba "B" :
wabunge na mawaziri wote, wakurugenzi sijawahi ona wakilia njaa. acha uongo wanakuongopea😂😂😅
2026-08-27 03:42:11
1
charlesmalekela93
charlesmalekela93 :
hiki kipindi YouTube nakipataje
2026-08-26 11:15:54
2
blenkostitches
Blenko Stiches :
Tanzania kama unamake mshahara zaidi ya 2 million ww ni the top one percent ya earners
2026-08-26 19:20:22
1
marrykingi
marrykingi :
ubarikiwe
2026-08-25 23:30:09
1
hamsoshirimahamso
hamsoshirimahamso :
wachache sana
2026-08-26 06:18:21
2
allynongwa385
allynongwa385 :
ii inchi wengi hufaidika kwa wizi
2026-08-26 04:20:23
3
user78624792269186
Shakiru Dauda :
Acha kusema M10, aslimia kubwa ya mishahara ya serikal ni lak 7
2026-08-26 15:14:34
3
armandopereira12
👑⚜️𝑾𝑰𝑳𝑬𝑾𝑰𝑳𝑬12⚜️👑 :
duuu ... m nikiwa na laki moja tu namuona kila mtu mwizi
2026-08-26 22:49:31
2
emanuelleopod
Ujimbi Siyo Chai :
bonge la fact
2026-08-25 20:18:32
2
To see more videos from user @emanuel_walwa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About