Wala hamuyajui wallah mngejua kama mwinyi anapambana kukopa na kuijenga Zanzibar wala msingesema
2026-08-26 00:01:43
1
chidybrown :
ila tulisema zaman hatutak muungano mkawateka mashehe mkawaeka ndan
2026-08-26 03:42:05
1
Twaha Mohammed :
wacha fitina wazanzibar wote ndugu na bara kwa damu kwahiyo wacha kufitinisha
2026-08-25 21:34:07
1
user72394190605690 :
Tanganyika iliteka zanzibar for 60 years... Sasa kosa liko wapiy
2026-08-25 21:32:05
2
Robert Mzizima :
kwani mbona huyu dada huwa anaongea harafu vitu vinatokea aisee🤔
2026-08-26 03:16:30
1
Suleiman Vegetable :
Haya mambo zanzibar tulisha pitia mda mrefu sana hadi ukaundwa uwamsho sosi ilikua nikubanwa kwa zanzibar kwenye muungano sasa nyie mnaendeleza tu
2026-08-26 03:03:24
1
mo :
USIWAJAZE WATU CHUKI KWANINI AKIKAA M BARA MADARAKANI WAZANZIBARI HAWAZEMI
2026-08-26 03:26:34
0
Justine :
wananchi kazi yao ni kuchagua tu hayo mengine hayawahusu walio na madaraka wao watapima wanapotea au wapo katika mstari maamuzi ni yao, wananchi hayatuhusu hayatuhusu
2026-08-26 02:56:50
2
Ali Tour guidé Zanzibar :
Na Bado hamjasema
2026-08-25 23:35:10
1
fransisconkuyumba :
HAKIKA
2026-08-25 20:24:22
2
Sultan Rashid :
maneno yake siku zote ukabila haachi chungeni na huyu anapenda watu wagawanyike Tz ni yetu sote hata Mzanzibar anahaki kua rais
2026-08-25 21:26:20
1
kitwana :
ujuwe iyo Tanganyika ndan yake kuna ukanda wa pwan. free jamuhuri ya ukunda wa pwan pwan huru nchi huru
2026-08-25 20:17:47
1
Hussman Jr 💥 :
Acheni ubaguzi banah yani Sasahivi kifanyike kitu2 bc shida ni Zanzibar. Mbon mukikaa wenyewe madarakani sisi hatuongei kitu ila kwavile Zanzibar tu kila cku drama tu
2026-08-26 03:40:22
0
baba mkwe :
SISI TUKO BUSY NA SIMBA NA YANGA.. TANZANIA HATUJIELEWI .
2026-08-26 04:22:48
0
jey 09 :
rekebisha sauti hatukuelewi
2026-08-26 04:02:45
0
K.SALU :
mbona kama nakuelewa kwa mbali embu ngoja nickilize kwa nguvu kama kuna kitu
2026-08-26 03:51:49
1
To see more videos from user @hnswahili, please go to the Tikwm
homepage.