@bbcnewsswahili: Baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na Rais Samia suluhu Hassan kuridhia, maswali mengi yameibuka kutokana na sababu alizotaja na namna alivyojuzulu. Nchimbi alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma kupitia barua aliyoichapisha mitandaoni. Sasa maswali yameibka mengi na hapa @sammyawami anatuchambulia maswali makuwa matano Video: Bosha Nyanje #bbcswahili #foryou #fyp #emmanuelnchimbi #tanzania #siasa #CCM
Injini ikiwa mbovu hata tungebadirisha vipuri vya gari pasipo kuitoa injini, safari yetu itakuwa ngumu. njia pekee ni kutupilia mbali hii injini gari itafika mbali.
2026-08-26 03:44:01
40
sule :
Let him go..! They are all the same people 😳
2026-08-26 18:11:52
0
Irshaad :
nimepata demu bikra leo.
nina furaha sana
2026-08-26 05:20:27
16
12FEB🚷 :
Emma Kam Emma
2026-08-26 04:48:48
0
Munjirù :
Where is Pole Pole?
2026-08-26 03:41:01
1
BOSI WA FAMILIA :
watu weng wanaamin katiba mpya ndio kupata unafuu wa maisha mbona kenya wana katiba mpya na bado wanaandamana kila cku waafrica tusifuate mkumbo wananch wanataka elimu bure afya bure na bidhaa kushuka bei katiba sio unafuu wa maisha
2026-08-26 05:07:23
7
ZANZIBAR😎 :
I stand with samia📌🖐
2026-08-26 04:29:52
7
mjomba wenu :
kiongozi anatakiwa kuwa jasiri na mpambanaji wa kweli
2026-08-26 05:03:21
7
CEO kimla building company :
mimi kwaupande wangu hatuna haja yakuendelea kujiuliza maswali yote haya mtafuteni Dkt Nchimbi mumuulize atuambie
2026-08-26 03:09:23
7
Jessykah kimath❤️🔐 :
na mm najiuzulu kwanzia Leo mm cyo mtanzaniaa, NDANI ya cku 14 taften mtoto atakae simama badala yangu😂😂😂
2026-08-26 12:07:37
1
Jobless Millionaire :
Ingekuwa vizuri zaidi km Samia nae ajiuzuru sababu kaapishwa kiharam watu walikufa oct29 wakaendelea kumuapisha huku tukiwa na msiba ilitakiwa uchaguzi urudiwe.
2026-08-26 06:44:56
0
shacao :
Anajiuzuru kwenda wapi akae afanye kazi aliyoiomba
2026-08-26 05:00:27
3
Mussa Yusuf :
Tamaa zake zimponza
2026-08-26 09:12:45
1
user5921813061472 :
BBC niwakuda sana nyinyi hamfai kabisa nilikua nawaamini sana miaka mingi nomegundua ni masinichi kabisa nyinyi ni double standard
2026-08-26 09:20:17
0
NASSOR_🧢 :
wew unauhakika gani kama hio ndo sababu ilompelekea kujiuzuru