@siasatz: Swali la msingi hawa manguli wa habari za siasa wameshindwa kuuliza hatari hiyo inatokana na nini? Hawakupaswa kutuacha tunaelea hewani. Adui ni nani? na uadui unatokana na nini? Clouds leo wameamua kutufungulia dunia tusikie tunachotaka🚶. #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30

siasazetu
siasazetu
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 26 August 2026 05:15:43 GMT
101552
4616
150
576

Music

Download

Comments

sam.h794
TATIZO ELIMU :
wanajeshi mko wapi jaman ndo mme nunuliwa wote???????
2026-08-26 07:18:10
46
4eva.khalid
Khalo :
kkikwete na samia😳😳😳😳😳ipo siku hamtadumu milele😳😳😳
2026-08-26 08:03:05
13
user7392529623130
Shamte :
kwa hiyo wapishi hawafi? au wapishi wa viongozi hawafi?
2026-08-26 05:59:16
26
alhaji_alhaji3
Alhaji :
Hiki kituo kina maisha mafupi sana
2026-08-26 06:13:29
88
pili.lingag
Chikonji Lindi 99 :
watanzania kwa tulipofikia kwa sasa bila mungu hatutoboi
2026-08-26 07:44:33
12
almasramadhan919
almasramadhan919 :
kwani hawa viongozi wakishapata hivi vyeo hawaruhusiwi kupikiwa na wake zao
2026-08-26 05:58:19
18
new.empire5
New Empire :
kikwete must go
2026-08-26 07:18:08
0
nancyasia_moris
nancyasia_moris :
Kikubwa kila nafsi itaonja mauti
2026-08-26 06:41:43
12
suzzy5973
suzzy kimaro 💦💦 :
Hata yeye mwenyewe yupo hatarini kwasasa
2026-08-26 06:05:19
6
khamisabdalla15
khamisabdalla15 :
atupishe hakuanza leo tokea enzi za makufuli alikuwa akiyafanya hayo
2026-08-26 05:45:01
10
user2157983439254
user2157983439254 :
Kikwete ndo mzizi wa vifo wa viongozi wetu
2026-08-26 07:17:49
8
osward35
P sword :
Kama kunaukweli
2026-08-26 07:48:53
4
ukwelimchungu2
MR.X :
Kwann tusiamini Mwakilishi kutoka Zanzibar ndani ya Bunge Simai alikuwa ameleta ujumbe kuna Yuda na kwann hakuwahi kuulizwa ndani ya Bunge aseme Yuda ni nani?na chanzo cha taarifa kakipata wapi?
2026-08-26 05:37:51
10
maryam.ahmed0601
Maryam Ahmed :
basi watanzania tumekwishaaa
2026-08-26 06:19:58
5
anty_minah
anty_minah :
jmn labda alikua na magonjwa yake binafs
2026-08-26 07:17:04
2
manvet
manvet :
Duh kumbe kuna za ndani hivyo😢😢
2026-08-26 06:14:00
11
beingfatma1
beingfatma1 :
Wamegeukana walana wao kwa wao daah mamaee wallah
2026-08-26 06:17:20
8
dogo.jah6
Dogo Jah :
siasa mchezo mchafu hiii Ngoma bado iko 50 Kwa 50
2026-08-26 06:06:40
5
davsonydenis
davsonydenis :
tanzania tanzania tunataka mabadiliko wasitulazimishe hii nchi sio familia
2026-08-26 06:38:31
6
amri.juma3
Amri Juma :
hivi watanganyika nafikiria vizuri kweli mbona naonamengi namnajua mengi ila mnajizima data
2026-08-26 06:03:41
7
victoradam58
V.adam :
nadhan kwa habari ya mpishi sio muhimu sana maana hakuna ushahidi sana wa kwamba ameuwawa
2026-08-26 07:12:33
0
deycallmezaryna
M🌸 :
kumbuka yule ni mtu w mungu kitu chochote kinacho pambana na mungu lazim kizurike
2026-08-26 06:45:35
3
feysaza
Ms fey :
Uyu Dr ni kama kanisemea 😃
2026-08-26 07:36:50
3
kassimmwitu735
Kassim Mwitu :
hongera nchimbi
2026-08-26 06:50:24
3
antiquesplatnumz
Antiques :
Wazo🤗Napendekeza kwamba 🤔Wapishi wa Viongozi Wema kama Hawa 🤔🤔Itabidi Awe Ndugu yake wa Damu 🤔🤔Hapo Viongozi wetu Vipenzi Watakuwa salama kabisa💯💯💯🦫 🦫 🦫
2026-08-26 07:08:21
2
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About