@jifunzetv1: Picha inayozungumza ilipigwa Jioni ya Juzi pale Terminal 1 kwa Mwalimu Nyerere Airport wakati Balozi Dr Emmanuel John Nchimbi anashuka kwenye Ndege ya Folker 50 akitokea kwenye shughuli ya Ufunguzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na kumbukumbu za Golden Arrival zilinaswa kwenye lens za Camera ya Nikon Z9. Mtoto kutoka Kusini mwa Tanzania 🇹🇿 ardhi ya Wangoni, Mseminari na Mkatoliki wa kulevya alikuwa anashuka wakati Vicheche kutoka Idara ya Usalama wanamtazama timamu kwa majukumu ya kumlinda E2 Jioni ile, haikuwa tu kushuka ndege bali kupisha wengine wapande na Tanzania iendelee na safari. Rais ameridhia Balozi kujiuzulu lakini ardhi ya Ruvuma sasa itampokea Mtoto wao waliyemtoa kwa ajili ya Tanzania aliyeondoka Nyumbani kwenye umri mdogo, wampokee Mtoto wao na pengine ni moja kati ya Mtoto bora moja wapo kuwahi kuwapa Taifa hili leo amestaafu rasmi siasa na Utumishi wa Umma. Asante Mngoni, Asante Balozi, Asante Daktari ukawe na wakati mwema wa Ustaafu baada ya kulitumikia vyema Taifa lako. Usengwile Kaka Ima 👏 Thank you Son of the Republic.

Jifunze tv
Jifunze tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 26 August 2026 08:27:31 GMT
54069
2485
55
53

Music

Download

Comments

john.mushi81
John Mushi :
We love you Father
2026-08-26 16:42:35
3
jifunzetv1
Jifunze tv :
MTU MWEMA SANA🤝
2026-08-26 11:32:07
14
coca....3
Co&Ca :
Katoliki inalea na zaidi ya yote inafundisha kusimamia kweli na misimamo pia...Angalia akina Simbachawene..Mizengo..Philip Mpango..n.k
2026-08-27 07:11:28
6
chudaaah
Chudaaah🦩❤️ :
Sijui kwann rohoo inaniuma juu ya uyu baba
2026-08-27 08:00:33
2
ommy_rizzy47
ommy_ set :
heshima yako umeilinda baba
2026-08-26 16:21:54
6
scolammary
scolammary :
nimejikuta nampenda sana huyu baba ana misimamo pia anaona mbaili
2026-08-27 05:24:10
3
sendo.kwa.bei.poa
SENDO KWA BEI POA 🫰🩴👑 :
kira kitu kizuri kufanikiwa kwake kunakuwa naugumu sana sijui kwanini 🥺😭😭 ila 🫡 shukulani sana mana mdomowako uliutumia kwahaki 🙌🙏🫡
2026-08-27 07:02:41
3
mwambavicent
MWAMBA VICENT 🇹🇿 :
MUNGU
2026-08-26 16:14:53
3
twins.makeover_
Nasra|ناَصْاَء🩷🧸✨ :
Kwakweli usengwile😊🙏
2026-08-27 06:20:43
1
john.mushi81
John Mushi :
Yohana 1:47 inasema: "Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake."
2026-08-26 16:41:54
17
johnluhende5
Ngosha Family💪 :
mfano hai huyu mwamba🙏🙏
2026-08-26 16:24:30
5
makishu.dabali
makishu dabali :
wapi umemsikia balozi kasema amejuuzuru
2026-08-26 20:17:55
2
linda.love0125
Linda love❤️ :
Mtu mwema
2026-08-27 04:54:14
1
ethan06848
ethan :
kaniuma san
2026-08-26 15:50:38
1
rama.kazili
Rama Kazili :
mmm
2026-08-26 09:58:16
1
samwel.julius43
samwel julius :
mungu akubarik mzee wetu waachie nchi yao wafanye wanavojua kikubwa uzima
2026-08-26 22:56:03
0
user376162469
Jacob Ezekiel692 :
MWAMBA UYU AMETHUBUTU ILA IPO SIKU INCHI HII ITAINGIA KWENYE SHIDA NA IYO YOTE NI KWASBABAU YA UBINAFSI WA VIONGOZI KWENYE INCHI YAO WENYEWE WANAONA KULA PESA ZA KODI NI VYEMA KULIKO MAENDELEO
2026-08-27 07:32:58
0
ameena.mohammed199
ameena :
hata sasa hv mungu ni mwema ukawa mapumziko mema ya utumishi umelitumikia taifi kwa kiwango ambacho mungu amekujalia
2026-08-27 10:36:13
0
tumainisanga362
Tsanga mbetswa :
kusimama kwenye kweri ndicho umenifunza japo dunia aipendi ukwer
2026-08-27 11:16:14
0
ottogabriel20
Ottogabriel283 :
Mtu mwenye Hofu ya Mungu Hakika
2026-08-27 09:33:43
1
p_official4
Frank_Kandaga :
ufunuo 2:10 kuwa mwaminifu hata kufa bwana wa mbingu nayo nchi Tanzania 🇹🇿 akuifadhi salama m/doctor nchimbi
2026-08-27 09:03:57
0
johnkomba316
John Komba :
umetuheshimisha ruvuma♥️♥️♥️♥️wew ni shujaa daima
2026-08-27 02:13:38
0
doc7754
Doc :
Kwa kifupi, mwandishi hajakosea kuwa anatokea Mkoa wa Ruvuma. Kwamba ni Mngoni wa Songea, Mmatengo wa Mbinga, Mwera wa Mbamba-bay, Mnyasa au Mpoto wa Liuli au Njambe au Mango au Lundu, ama Mmanda wa Mbaha au wa Lituhi, au Mpangwa wa Songea, au Mbena wa Madaba, au Mkinga wa Songea mjini, au Myao wa Tunduru, au Mdendeule wa Namabengo au Namtumbo yeye ni wa RUVUMA. Ruvuma yote inajivunia huyo bila kujali ni CCM ama CHADEMA.
2026-08-26 15:38:39
4
user14268378053
user14268378053 :
Huyu sio Mnyasa
2026-08-26 11:53:08
2
selemani.moshi.mk
Selemani Moshi Mkongo :
mungu anamtumia yeye kuwafunfishe wengne kua madalaka siyo kitu kama unahitaji kua na mwisho mwema🥺🥺🥺🥺
2026-08-26 17:41:10
4
To see more videos from user @jifunzetv1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About