c'est chemical qu'on écoutait auparavant içi au Congo??
2026-09-08 21:02:53
1
G' fEX :
Dadaangu leo nimefrai kwa kuona Mm nishabiki yako, Haswa kwenye Nyimbo ya Mary mary, Daah! Naitaji utie neno kwa coment yangu, Nitashukuru sana
2026-09-06 14:43:28
2
Mc_corazon_Tz 🧢 :
my love ❤️🫵💯
2026-08-26 10:07:22
10
cute D :
chemical unatokea Kijiji gan
2026-08-27 20:58:46
6
Ibu 56 :
chemical kumbe we mtani wangu muhaya ok
2026-08-26 12:23:22
19
mapesa :
mbona hunijibu kwako tatulizana ww niwandoto yangu nakupenda sana
2026-08-26 11:43:05
8
BIG FISH :
Haiezi kua safi kama home sio safi, eka home saf, mkwanja unapata
2026-08-27 07:10:26
5
Godfrey Gabriel :
Barikiwa sana Dr. Chemical.
Nimefurahia sana namna ulivyoreflect somo letu la Marko Mtakatifu 7:24-30.
Shemasi Godfrey Gabriel nilihudumu kwenye Ibada hiyo ya tarehe 16-08-2026 nikiwa Mhubiri.
2026-08-26 16:39:17
15
MSAFIRI MSAFIRI :
Chemical hapo ni BK maeneo gani?
2026-08-28 17:07:00
3
user6139916916692 :
Nbona kuna manano nikama kikongo
2026-08-26 21:25:42
2
mwedokasi 🏃 :
kemiko vp kipezi
2026-08-27 05:57:01
3
Issaisack97 :
Kwani uyu nae familia 😁😁
2026-08-27 13:03:30
2
Mansour♥︎♥︎♥︎ :
nakuelewa sana ww dada
2026-08-31 08:48:53
2
Godfrey Piuc :
mwungu kwa kihaya,
ni Bonga na kwa kiha ndo ivo ivo
ko wahaya na waha Vinaendana hadi lugha
2026-08-30 12:47:33
1
Jovitha Simon :
kwani wew ni dada angu et
2026-08-30 18:41:46
3
Salma_ismail79 :
kumbe ndugu yangu kwel ndo nimeamin wakola
2026-08-31 18:58:02
3
Imani kamwenubusa :
mimi nataka kujua jinalako kamili ukiachana na chemical
2026-08-27 07:12:11
3
Silaa John :
Kama ahuna uhakika sawa wakola
2026-08-28 20:31:07
1
Jah ki :
nakubali hujawahi kuacha miyeyusho dadaake😁😁😁
2026-08-31 06:34:46
1
user5793822907139 :
chemical oli womwowa booojo nakupendaga sana
2026-08-31 09:44:01
1
coplique noir :
usiniambiye chemical munyakyusa,,
2026-08-27 12:01:20
1
Trofin Ngenz :
soli ila kwenye mavazi apo kipenz umetuangisha
2026-09-08 11:38:00
1
fkk family :
dr maisha halisia mambo mazuri kushoot kuitangaza
2026-08-27 12:59:12
1
To see more videos from user @chemical_tz, please go to the Tikwm
homepage.