@xeptone_brand_media: Padre João Silveira, mmisionari wa Kikatoliki kutoka nchini Ureno, ameweka historia ya kuwa padre wa kwanza duniani kupanda na kuadhimisha Misa Takatifu kileleni mwa Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania 🇹🇿. Padre Silveira, ambaye alisoma Uhandisi wa Kemikali kabla ya kusomea Theolojia na Sheria ya Kanuni huko Roma, anafanya kazi ya umisionari barani Afrika na kutangaza Misa ya Jadi ya Kilatini ulimwenguni kote. Je, unaonaje hatua hii ya kipekee ya kiimani? Dondosha maoni yako! 👇 #flypシ #xeptone #updates