150,000.kwa mjasiri amali aliejiajiri kujing'amuwa na umaskini kumwambia alipe pesa hiyo ni kubwa sana.
2026-08-27 04:33:04
7
Omar bare :
laki na nusu nyingi hasa kwa biashara iyo
2026-08-28 23:12:03
0
abasi :
hata ukisema dada bure limejengwa soko lazima ulipie jengo
2026-08-28 04:40:09
0
user9268166674381 :
Kwel mama unavosema wapo juu sana kwa ilo
2026-08-27 07:55:41
0
Thiago Ramiley 06 :
kuna mda ATA raisi wetu hahusiki tatizoo Hawa walopewa mamlaka ... ikiwa kama raia tumejengewa kujisaidia anglau basi tulipe Kwa mwez elf 30 au Kwa kila siku Mia tano ..... utakuta mtu anauza mchicha tu ana watoto 5 ukianglia yeye mama na yeye Bibi pia hivi anapata nini apo kusema ukwel badala yake kuzalilika tu viongoz jitahidi ktk Rai zenu sio kutengneza Kodi tu pale watengenezeeni maisha mazuri masikini Sisi hatuitaji magar tunahitaji pesa ya Kula tu nyumbn
2026-08-27 08:36:26
1
Khamis Omar :
mama biashara haina mwanamke wala mwanamme
2026-08-27 07:06:37
0
Yobo :
KWA ALLAH KUZITO INNALILAHIWAINNAILAIHIRAJIUN
2026-08-27 04:27:56
3
To see more videos from user @tv3.online, please go to the Tikwm
homepage.