@jukwaa.la.maarifa: Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Ameendelea Kuwakumbusha Baadhi ya Wanawake Ambao Wamekua Na Tabia za Kupakwa Rangi Na Baadhi Ya Wanaume Ambao Si Wanaume Zao Dunia ya Sasa Kumekua Na Tabia ya Baadhi ya Wanaume Kazi Yao Kubwa ni Kuwapaka Rangi Wake za Watu Kitu Ambacho Akipendezi Na Si Jambo Salama Kwa Wale Ambao Wamekua Na iyo Tabia ya Kufanya Iko Wanachokifanya Baadhi Yao Wamekua Wakizungumza Wanafanya iyo Kazi Kwa Mlengo Wa Kazi ya Kujiingizia Kipato Kitu Ambacho Kwa Uhalisia Zipo Kazi Nyingi Ambazo Unaweza Kuzifanya Na Ukajiingiza Kipato Kushika Miguu ya Wanawake Wengine Na kuwaosha na Kuwapaka Rangi za Miguu Ni Kitu Ambacho Si Sahii Na Si Jambo Zuri Kabisa