@dunialeo_: Sheikh Saidi Mwaipopo amedai kuwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekosa uzalendo, ukweli na nidhamu katika uongozi wake. Sheikh Mwaipopo ametoa madai hayo leo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari, akimuelezea Dkt. Nchimbi kama “kaka yake” na kuhoji mwenendo wake katika uongozi.#dunialeoUPDATES

DuniaLeo
DuniaLeo
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 26 August 2026 17:33:36 GMT
83317
1908
251
75

Music

Download

Comments

barnabas.joseph1
Barnabas Joseph :
who is this guy
2026-08-27 08:44:24
0
user3615282115961
user3615282115961 :
hivi huyu ni shekh au mwanasiasa
2026-08-26 19:38:20
14
mjomba.wenu4
mjomba wenu :
Nchimbi hafai kuwa kiongozi
2026-08-26 19:53:25
11
christer_mic
christer_mic :
hivi huyu kwa sasa anacheo gani nchini?
2026-08-26 19:25:45
26
abdu.kheir
Abdu Kheir :
alipinga mpaka maamuz ya magufuli huyu nchimbi mm ninachoon ana uroho wa madaraka
2026-08-27 02:10:02
9
mushi.athumanitej
Mushi AthumaniTeja :
alivyokua makamu mbona hujasema hayo
2026-08-26 19:17:20
9
tina01482
tina01 :
huyu wangempumzisha Usheik awe mwanasiasa tu
2026-08-26 20:29:06
5
ranny_cute7
Ranny_cute❤️🥀 :
Asante
2026-08-26 18:01:06
1
albahri388
Al Bahr :
Watu wanatia kusahau kama huyu ndio alipinga uteuzi wa JPM au mmesahau ikiona mtu JPM alimuweka pembeni bas huyo hafai
2026-08-26 20:41:49
5
denis74866
Denis kinunda :
anacheo gan huyu jamaaa
2026-08-26 20:12:26
1
clashpapy
WEST PAPY 🏅🏀🤟 :
Kwan kipindi mna mteuwa kuwa makam wa rais mlikua mfahamu sas iv ndo mnajua mabaya yake bro story zen na propa ganda tumezichoka
2026-08-27 10:11:21
2
ts_heaventz
mamie💞 :
waislam wenzangu taqbir🥰🥰
2026-08-27 09:28:32
1
mbwana.rajab
MBWANA RAJAB :
Kwani Kitima naye kazi yake ni nini??? Msiangalie upande mmoja
2026-08-26 20:37:58
3
mgaya1010
From your contact :
Huyu jamaana Anafanya kazi gani😁
2026-08-27 03:31:36
2
salumu495
salumu :
kwani auwezi kuongeya bila kutaja chadema naheche
2026-08-26 19:21:29
1
maryamjuma764
Mamu shabani :
kwani huyu Mwampopo ni nani ktk hii nchi kwa sasa?
2026-08-26 23:17:17
0
denis74866
Denis kinunda :
:semaji la serikali
2026-08-26 20:12:48
1
jumasadallah
juma sadallah :
watu wa siasa uyu ndo waziri gani
2026-08-27 06:48:57
4
user0626436231
chsan moto wa mama :
wewe umeongea point kaka🙏
2026-08-26 19:42:48
2
www.nathacom
nathacom. tech :
Hawa ndio wasemaji wa serikali jamani inahuzunisha sana sijui tunaenda wp
2026-08-27 05:56:14
1
paschalphilipo3
Paschal philipo petro :
hili zwazwa kwanin sasa alipendekezwa na bunge kua Makamu
2026-08-27 02:34:27
1
anko_jose.m
ANKO JJ :
kwani huyu ni nani nchi hii
2026-08-26 19:49:29
2
rashidi.saidi08
Rashidi Saidi :
Wewe siku hizi umekuwa msemaji wa serikali
2026-08-26 19:51:17
2
ean.joe
Ean Joe :
TNAULIZA KITU KILA SIKU WAUSIKA WA HII NCHI UYU NI NANI ANALIPWAGA NA NANI KWANN ANAYAFANYA AY KWANN HAKUNA ANAETUJIBU NA KAMA ANATELIWA MBONA HANA POINT ZAMAAN
2026-08-27 05:59:43
0
To see more videos from user @dunialeo_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About