@cwgchiwaga: kujiuzulu Kwa makamu wa rais dkt.nchimbi kumezua mijadala mitandaoni sheikhe mwaipopo amejitokeza na kuzungumza mambo mengi kuhusu sakata hili kubwa ni mwenendo wa makamu WA rais kipindi Cha uongozi wake
Kipindi mnampendekeza kuwa makamu wa rais walisahsu hayo mafail au
2026-08-27 00:32:21
17
abieza :
musituhusishe sisi hatumo
2026-08-26 20:51:59
4
keyston :
huyu nae vp
2026-08-26 21:16:30
3
Yazidu Katora :
hila uyo aliojiudhuru hamna kitu kabisa sijawah kumkubali.
2026-08-27 11:27:40
1
Ibrahim :
hyoo mwanachama wa chama gani
2026-08-27 09:33:51
0
kinguluila8888 :
ccm tuliwaambia mapema tu mtu ana kataa uteuzi wa magufuli nyie mka mwamini mkamrudisha ??ilikuwa ni swala muda tu kuondoka😏😏😏
2026-08-27 04:13:37
6
violetmmasi :
Mungu tutetee maana kwako Kuna matumaini na njia zako ni nyingi na hazichunguziki Watanzania tunakulilia Mungu wetu msaada wetu uko kwako 🙏🙏🙏
2026-08-27 11:00:57
1
lowassamo93 :
2026-08-26 19:48:18
1
Kotachrissy255 :
Kwan huyu ni msemaji wa nan
2026-08-27 12:42:40
0
James Alfred :
kwani demokrasia ni nini ❓
2026-08-27 12:47:43
0
Being_nino🤏💓 :
mbona kabla hajajiuzulu hamkusema hayo maneno namkampa nafas
2026-08-27 06:41:44
0
jesus kuhoda :
huyu mwamba huyu ni mtu wa umuhim sana anajuwa kutetea amani ya taifa lake sio poa ongela tutaimba ukifa mzee asante sana. raisi samia inamponza kaz na utu 🥰🥰🥰🥰
2026-08-27 14:28:58
1
simba :
yaaaani mama samia ukumuona kweli nchimbi afai kabisa ,sasa ndio kaziirisha kwqmba sio mtu mzuri
2026-08-26 20:10:02
2
Bushiri Goma255 :
sasa sikuzote mrikua wapi kutuambia aya waeshimiwa
2026-08-27 12:37:43
0
Marry Mankawinner72 :
ameshajiudhuru,mmefukuza mwacheni aendelee na maisha yake siasa za.visasi.hizo
2026-08-26 21:11:47
2
Emperor👑👑 :
Huyu kunakitu hakijui ccm walikataa kukigawanya chama kwasababu lowasa na membe walikuwa na nguvu karibia sawa ya ushawishi so ikabidi wawadropdown na kumpa nafasi mtu aliyekuwa haimbwi ili kustablize mambo sasa huyu anaropoka tu
2026-08-27 07:30:04
0
katwe :
ALITUMIA HAKI YAKE KIKATIBA
2026-08-27 06:17:47
0
BDeRocky :
nashidwa kwelewa.
2026-08-27 11:57:25
0
Nickso Prudens :
kwani we upo upande gani
2026-08-27 13:46:34
0
Emmanuel Jacob :
kaka kua n akiba ya maneno
2026-08-27 13:19:02
0
SteveS :
watanganyika bana🙌
2026-08-27 12:18:12
0
georgemakiri1 :
Waambie CCM.Acha kelele
2026-08-27 12:37:30
0
To see more videos from user @cwgchiwaga, please go to the Tikwm
homepage.